Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,757
Hakika.....Mzee Mangula ni zaidi ya mwanasiasa.
Alinifundisha shule ya msingi wakati akiwa JKT.
Alikuwa anavaa sare za jeshi akija darasani.
Na hayuko peke yake.....
Wako vijana wengi wasioonekana mbele ya HADHARA walioshiba imani ya CCM kupita maelezo......
Katika MADARASA ya ITIKADI tumefundishwa kuwa CCM ni imani isiyotetereka.....usiwaangalie tu CCM maslahi wanaosukumwa na upepo......
#BinadamuWoteNiSawa
#KilaMtuAnastahiliHeshimaYaKutambuliwaNaKuthaminiwaUtuWake
#UjamaaNaKujitegemeaNdiyoNjiaSahihiYaKujengaJamiiIliyoSawaNaHuru
MWENYEZI MUNGU AMPE UHAI MREFU NA AFYA NJEMA KAMARADA MZEE MANGULA ,aaamin aaaamin🙏
#SiempreCCM
#HastaLaVictoriaCCM
#KaziIendelee
#YetzerHa-tov