Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,078
- 12,752
Kwani dhambi mkuu?!!Ok, at least umekiri ina element za kikomunist
Ok kaka
Kwani dhambi mkuu?!!Ok, at least umekiri ina element za kikomunist
Sio dhambi mkuuKwani dhambi mkuu?!!
Ok kaka
Alichosemamia Gwajima ndo ujinga ambao serikali ya CCM wakati wa magufuli uliponda chanjo hadi kupima mapapai na mbuzi na ujinga ulishawajaa watu tangu paleGwajima Bishop ana mtaji wa wajinga wengi mtaani.Shida mfumo umemsitukia.
Wananchi wamemtuma Bungeni akawawakilishe, yeye anakwenda kuanza kuangalia nani huwa anakaa mbele karibu na spika. Hizi akili za namna hii ndiyo tunatakiwa tuziondoe bungeni haraka sana ili nchi iweze kwenda kwa kasi tunayoitakaSikuwahi kufikiri kwamba hata wabunge huwa wanaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo kabisa
Yaani mbunge mzima anasimama na kuanza kulalamika kwamba yuko bungeni siku nyingi lakini bado anakaa kiti cha nyuma lakini askofu Gwajima kaja juzi tu kapewa kiti cha mbele anaangaliana na mh Spika
Kumbe ndio maana Rostam Aziz aliuponda ubunge.