Jamani wadau naomba anayefahamu sifa za elimu ya mbunge wa jimbo la makambako, maana kuna tetesi jamaa kasoma mpaka darasa la pili kaingia mitini. swali je?
Itawezekanaje mtu aliyesoma madarasa mawili kutunga sheria ambazo zitaliongoza taifa kwa mda wamiaka hamsini bila kufanyiwa marekebisho makubwa sana?
Na kama ni hivo kuna haja ya kurekebisha katibu kuhusu masharti ya wagombea ubunge badala ya kusema ajue kusoma na kuandika basi awe na shahada kuanzia moja/ degree.
Huyu mtu atakuwa na uwezo mkubwa wa kuhoji mkataba mbalimbali ya wawekezaji pamoja na kugundua siri za wizi. jamani wadau mawazo yenu jamani sio matusi kwa hili la akili ndogo kutawala akili kubwa.
Itawezekanaje mtu aliyesoma madarasa mawili kutunga sheria ambazo zitaliongoza taifa kwa mda wamiaka hamsini bila kufanyiwa marekebisho makubwa sana?
Na kama ni hivo kuna haja ya kurekebisha katibu kuhusu masharti ya wagombea ubunge badala ya kusema ajue kusoma na kuandika basi awe na shahada kuanzia moja/ degree.
Huyu mtu atakuwa na uwezo mkubwa wa kuhoji mkataba mbalimbali ya wawekezaji pamoja na kugundua siri za wizi. jamani wadau mawazo yenu jamani sio matusi kwa hili la akili ndogo kutawala akili kubwa.