Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
MBUNGE wa Ilemela, mkoani Mwanza, Bw. Highness Kiwia (CHADEMA), amefichua mpango wa kutaka kumuua unaofanywa na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), jimboni humo.
Kiwia alisema huo ni mpango wa muda mrefu ambao ulipangwa na kusisitiza kuwa, mabadiliko katika jiji la Mwanza hayawezi kuzimwa kwa kumuua yeye
"Hata nikifa leo, wananchi wa Mwanza wataendeleza harakati za kudai mabadiliko, mimi sio kuku wa Krismasi ambao huchinjwa hovyo," alisema Bw. Kiwia bungeni jana.
"Nipo tayari kutoa ushahidi wote na majina ya watu wanaotaka kuniua, nitayawasilisha bungeni kwa muda niliopewa," alisema.
SOURCE: GAZETI LA MAJIRA
Kiwia alisema huo ni mpango wa muda mrefu ambao ulipangwa na kusisitiza kuwa, mabadiliko katika jiji la Mwanza hayawezi kuzimwa kwa kumuua yeye
"Hata nikifa leo, wananchi wa Mwanza wataendeleza harakati za kudai mabadiliko, mimi sio kuku wa Krismasi ambao huchinjwa hovyo," alisema Bw. Kiwia bungeni jana.
"Nipo tayari kutoa ushahidi wote na majina ya watu wanaotaka kuniua, nitayawasilisha bungeni kwa muda niliopewa," alisema.
SOURCE: GAZETI LA MAJIRA