nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
| ||
|
| ||
|
Sasa kama hii Bajeti isipopita itabidi Rais alivunje Bunge... na kuvujwa kwa Bunge kuna Maana Uchaguzi wa hapo kwa hapo
Very Interesting... Itakuwa Raha kweli, tutaona nani atashinda hapo sababu campaign itakuwa labda wiki mbili tu.
Mnyika amegundua kuwa yeye si dhaifu ila yuko kwenye bunge dhaifu Lenye magamba mengi yanaoongozwa na m/kiti dhaifu anayeongoza serikali dhaifu, na aliyeteua mawaziri dhaifu waolioleta bajeti dhaifu bungeni na kuutetea kwa hoja dhaifu na mikakati dhaifu ya kumfukuza mbunge mzuri Mnyika anaowaambia ukweli kuwa wao wabunge ni dhaifu na Rais wao JK ni dhaifu.
Kwa hiyo, Mpina ameamua kuwa mfuasi wa Mnyika, tatizo liko wapi.
Hapo wanamagwanda wa humu hawatakawia kusema kuwa Mpina ni jembe ili hali hija zao ni kuwa wabunge wa Ccm ni vilaza. Ngoja nione kama hawatatoa hoja ya kipuuzi kama hii.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
naunga mkono hoja,natarajia kukuona jukwaani kesho na kamanda Lema pale kimanga...
Na uchaguzi utakua legelege, wizi wa kura legelege, sijui kama chama legelege kitashinda tena
ccm lazima wapitishe hili bajeti kwani wakirudi kitaa watapukutika mno