kabla ya kwenda kwenye escudo...''.cost cutting'' not with standing. hizi njemba asilimia 90. zilazimishwe zifanye dieting ya nguvu.maana uwezekano wa kushindwa kuingia kwenye hizo scudo,s nao upewe nafasi yake. teh..te..te..teheee.t...!!!. vinginevyo watembee na wapambe wa kuwa chomoa wakinasa kwenye viscudo. lkn typical ya wana siasa.huyu mheshimiwa sana wa mpanda kati.angeanza na hizo soft loans wanazo pata wabunge kununulia hayo mashangingi yao.awa eleze walala hoi ni kiasi gani cha fedha kita okolewa, kama na wao wata kopeshwa usafiri wa gharama nafuu..??? kwani idadi ya makatibu wakuu ni chache sana. na kama fedha kiasi hicho ina weza okolewa,toka kwa mktb wakuu basi fedha itakayo okolewa toka kwa wabunge itakuwa ni kiasi kikubwa zaidi.