Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,771
Mbunge wa Mpanda Kati,Said Arfi (CHADEMA) ameitaka serikali kuwanunulia Makatibu wakuu na Wakurugenzi magari madogo aina ya Escudo ili kubana matumizi badala ya viongozi hao kutumia magari makubwa aina ya VX..........................Arfi alisema wakati akichangia hotuba ya makadirio ya bajeti ya Wizara ya Viwanda,Biashara na Masoko kwamba haoni sababu ya viongozi hao ambao wengi shughuli zao ziko jijini D'salaam kununuliwa magari hayo 'mashangingi' kwa kuwa yanachangia kwa kiasi kikubwa matumizi ya serikali......................aidha,alisema kuwa gharama ya gari moja aina ya VX ni sawa na ujenzi wa Zahanati moja au madarasa matano na kama serikalo ingeamua kuwanunulia viongozi hao magari aina ya Escudo ,fedha za ziada zingesaidia katika shughuli nyingine za maendeleo................Habari zaidi gonga www.mwananchi.co.tz