Mbunge Assumpter N. Mshama

Mbunge Assumpter N. Mshama

SIMBA mtoto

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2011
Posts
204
Reaction score
100
ASSUMPTER NSHUNJU MSHAMA

1673.jpg

Member of Parliament CV

Huyu mama nilimsikiliza jana nikashindwa kuelewa alikuwa anasema kitu gani. Imebidi niingie kwenye wavuti wa bunge na nilichopata ni cv yake ambayo hajui hata alizaliwa lini!

Office zake anasema zipo Kyaka, Dar es Salaam. Jamani Kyaka ipo sehemu gani hapa Dar?
 
Huyu mama nilimsikiliza jana nikashindwa kuelewa alikuwa anasema kitu gani.

Imebidi niingie kwenye wavuti wa bunge na nilichopata ni cv yake ambayo hajui hata alizaliwa lini.

Ofice zake anasema zipo Kyaka, Dar es Salaam, Jamani Kyaka ipo sehemu gani hapa Dar.

Huyu mama ni mtupu ni mtupu kichwani hakuna kitu, nadhani ccm walimtoa mirembe wakamchukua kwa vituko vyake, nawaomba wamrudishe akamalize tiba.

Mimi nilimwelewa sana vizuri tu. Tarehe yake ya kuzaliwa inakuhusu nini?
 
Huyu mama ni mweupeee na alipewa jimbo kama shukrani kwa kazi alomfanyia mkulu.unabishaaaaa

Alimuhonga mpinzani akajitoa dakika za mwisho wakati wa uchaguzi.
Anayemtetea alete Cv yake kabla ya kugombea kama amewahi kufanya harakati yoyote ya kisiasa.

Mengine wana Missenye mje hapa muongeze.
wapili ni mama yangu Bernadeta Mshashu kwakweli mama umeshusha hadhi yako bora ungebaki katika ualimu wako tu.
 
Msitumie akili nyingi kumjadili A.N.Mshama kazi aliyopewa jana na siku zote huwa ni kuwaondoa watu kwenye logic.kiufupi hakuwa na hoja ya msingi zaidi ya kupayuka
 
Ni kati ya watu wanofanya bunge kuwa kama gulio. Hata mwanangu wa darasa la saba anajua kujenga hoja kuliko huyu mama. Sijui aliwashawishi vipi hao waliompigia kura.
 
Jimbo liko wazi kabisa, Nkenge kuna wasomi wa kada zote,mapro,wachumi, wansheria, wakulima wafanya biashara wazuri tu, wasomi wa kati wenye uelewa tu, sijui kwa nini hawajatutendea haki kuleta mbunge kama huyu, chonde chonde mbunge kama huyu hastaiki kuwawakilisha nshomile hadi makerere,,hdi form six ni aibu AIBU AIBU
 
Box 64, Kyaka. 21494, Dar Es Salaam
hizi ni adresi mbili tofauti mkuu yaan unaweza kumpata kwa anuani ya Kyaka au Dar..
Kwenye suala la kutoa hoja hana tofauti na Hawa fujo na Mh Chambo (ashk majinuni)
 
Mimi nilimwelewa sana vizuri tu
Tarehe yake ya kuzaliwa inakuhusu nini? Anyway kwa kama unatafuta mke au hawara huyu Assumpta wala hana mpango na wewe.Na usitafute mke au hawara kwenye tovuti ya bunge muda mwingi wanakuwa bungeni sio kwenye tovuti.Ni ushauri tu

Kwa kuwa mnalingana kifikra lazima utamwelewa! Kama usingemwelewa ningeshangaa sana ati!!
 
Jimbo liko wazi kabisa, Nkenge kuna wasomi wa kada zote,mapro,wachumi, wansheria, wakulima wafanya biashara wazuri tu, wasomi wa kati wenye uelewa tu, sijui kwa nini hawajatutendea haki kuleta mbunge kama huyu, chonde chonde mbunge kama huyu hastaiki kuwawakilisha nshomile hadi makerere,,hdi form six ni aibu AIBU AIBU

Mkuu kuuliza sio ujinga, jimbo lake linapatikana mkoa gani?
 
watu wa Nkenge wana shida sana kwahiyo nilipomuona huyu mama anatetea majambazi nilishangaa sana wakati watu hao ndio wanasababisha wapiga kura wake kukosa maji kukosa umeme na kukosa dawa mahospitalini. leo hii anapata jeuri ya kusimama na kutetea wale wanaowaibia wananchi wa nkenge pesa zao za huduma ya jamii.

mambo ya kumtaja mbowe na kuingiza kuwa wanashitakiwa ni wana ccm tu ni makosa makubwa kwani amejaribu kuingiza siasa katika ujambazi ili kuwavuruga watu lakini watanzania wengi tumepevuka tunajua tofauti ya siasa na ujambazi. assumpter nshungu mshana inakubidi mwaka 2015 ukawaletee wakina Muhongo wake wakupigie kura Nkenge kwa maana hao ndio uliotumia muda wako kuwatetea badala ya wana nkenge
 
Huyu mama ni mke wa kigogo mmoja mkubwa pale usalama wa taifa so nyuma ya pazia unaweza ukajua what is going on na jimboni kapitaje. Na atapitaje pia . Master minder wa ki cuba dalasa moja na hugo chavesi.
 
Mkuu kuuliza sio ujinga, jimbo lake linapatikana mkoa gani?

Huwezi amini ni kutoka mkoa wa Kagera! Licha ya dunia yake ndogo lakini mchango wake wa jana na mingine ambayo anaitoa Bungeni ni 'Kibajaji'type! Ilikuwa ni aibu kubwa tena akiongea baada ya Naibu Katibu Mkuu wake Mwigulu kuwa ameongea na kuuweka Mjadala ktk njia sahihi!

Na sijui hawa wabunge wa Kagera wana matatizo gani. Juzi alichangia Mwijage naye licha ya kufahamu vizuri Ujambazi ulio fanyika akajadili kinafiki! Ukimsikiliza mbunge wangu wa Bkb vijijini,Rweikiza hana tofauti na Assumpter! Mbunge mwenye uwezo wa kujenga hoja kistaarabu ni Kagasheki!
 
Huyu mama ni mke wa kigogo mmoja mkubwa pale usalama wa taifa so nyuma ya pazia unaweza ukajua what is going on na jimboni kapitaje. Na atapitaje pia . Master minder wa ki cuba dalasa moja na hugo chavesi.

Huyu alikuwa mhudumu wa ndege za Serikali, aliwaleta Makoma bila idhini ya Ikulu, akatolewa ndege za Serikali
na kuwekwa benchi Ikulu. Wakati anagombea Ubunge alificha kazi yake ya awali na kujifanya hotelier!
 
Mkuu kuuliza sio ujinga, jimbo lake linapatikana mkoa gani?

jimbo lake liko KAGERA
huyu mama hajawahi kuongea vtu vya msingi ht siku moja mimi namsikilizaga sana yupo pale kwa maslahi yake yeye tu
yupo km hvyi alivyo halafu anajifanya mtu wa MUNGU
 
Huyu mama ni mweupeee na alipewa jimbo kama shukrani kwa kazi alomfanyia mkulu.unabishaaaaa

Alimuhonga mpinzani akajitoa dakika za mwisho wakati wa uchaguzi.
Anayemtetea alete Cv yake kabla ya kugombea kama amewahi kufanya harakati yoyote ya kisiasa.

Mengine wana Missenye mje hapa muongeze.
wapili ni mama yangu Bernadeta Mshashu kwakweli mama umeshusha hadhi yako bora ungebaki katika ualimu wako tu.

mie namjua vizuri. alikuwa mtumishi wa ndani ikulu. Ana deploma ya hotel management
 
Back
Top Bottom