PostGE2025 Mbunge apata kitete kwenye kuapa

PostGE2025 Mbunge apata kitete kwenye kuapa

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Bumbwini, Unguja, Zanzibar Mhe. Mwinyi Jamal Ramadhan alipata taabu kuapa mbele ya wabunge wenzake, hali hii imetokea bungeni leo Novemba 12, 2025 bungeni jijini Dodoma wakati zoezi la uapisho kwa wabunge likiendelea.
 
20250901_230332.jpg
 
Unafanya mchezo na Qur-an? Uibe halafu ushike Qur-an na unamuomba Mola "ewe mola naomba unisaidie". Hiyo mola keshakusaidia kwa kukupa ujumbe kuwa huna uwezo wala confidence ya kuwa mbunge!
 
Atakua anaona marehem walio pigwa Risas
Just imagine huyo kesho anarudi jimboni kwake, kweli atakuwa na mdomo huyu? Kashindwa kusoma sentesi tano ambazo mtoto wa darasa ta pili anaweza kuzisoma bila kusita sita yeye kashindwa maka anasaidiwa! Halfu kesho anapanda jukwaani na maneno tele kama debe bovu. I hope akirudi jimboni kwake watu watamfanyia mzaha wa kutosha tu.
 
Hii wakiiona wakenya kwenye vibonzo vyao itakuwa balaa
 
Jamaa anatetemeka mpaka anajishangaa mwenyewe, alafu anaonekana alikuwa muuza urojo na alkasusi.
 
Back
Top Bottom