Kamanda Kazi
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 2,613
- 798
:target: CDM imekuwa ni jalala la kila uchafu. na hii yote inafanywa makusudi ili kuipaka matope mbele ya wananchi ili ionekane haifai. si ajabu kesho tutasikia mjinga mmoja wa CCM akiibuka na madai kwamba mabilioni ya Uswisi yamefichwa na Mbowe au Slaa. kwamba Zito naye anahusika na kagoda. ni upuuzi..upuuzi tu!
:target:
:target: