Hahahaaa....wana sirinji haoHawa wa hapa Muhimbili ni kama wamekuwa biologically modified kama sio specie tofauti na nyingine.
Mbu anatoboa hadi turubai..!!
Hao itakuwa washakaa sana bonde la Msimbazi, washakunywa sana sumu za mtoni hapo na masalia ya uchafu wa Breweries kutoka Ilala.Hawa wa hapa Muhimbili ni kama wamekuwa biologically modified kama sio specie tofauti na nyingine.
Mbu anatoboa hadi turubai..!!
Mh, basi hao wanazidi wa Rufiji ambao ni urefu wao ni kimo cha Mbuzi!Hawa wa hapa Muhimbili ni kama wamekuwa biologically modified kama sio specie tofauti na nyingine.
Mbu anatoboa hadi turubai..!!
Nini kifanyike ili kuwatokomeza na kupungua/kuisha kabisa?Duh!
Pole sana!
Ehhh Mola tusaidie nchi yetu jamani!
Tuwaangamize mbu na ugonjwa wa maleria milele!
Kuna wakati niliwahi kuwaza kuwa kuwa tuchimbue na kuzamisha kina cha mtoHao itakuwa washakaa sana bonde la Msimbazi,
Umesahau na mapaka makubwa kama watoto wa mbuziHawa wa hapa Muhimbili ni kama wamekuwa biologically modified kama sio specie tofauti na nyingine.
Mbu anatoboa hadi turubai..!!
yani hao mazalia yao yangekuwa maeneo ya feri ingekuwa mzuka yani wanadrill qchwa cha mdau halafu watu tunafurahiHawa wa hapa Muhimbili ni kama wamekuwa biologically modified kama sio specie tofauti na nyingine.
Mbu anatoboa hadi turubai..!!
kuna 1.5 T ambayo inajulikana na 2 T ambayo ipo jaijulikani.Nini kifanyike ili kuwatokomeza na kupungua/kuisha kabisa?
Nakumbuka kipindi kile enzi za Ngozye alijaribu kupiga dawa lakini wapi..usiombe iwe siku yenu ya usafi class yaani ile asubuhi kuna mbu unaweza jaza gunia za kilo 100 mbaya zaidi ukifika forest hasa kule kitengo mawe mbu wanapiga misumali hadi mchanaWewe utakuwa umesoma Azania au Tambaza bila shaka mkuu