Mbowe: Why I shook hands with Kikwete

Mbowe: Why I shook hands with Kikwete

I have got no problem na kusalimiana kwao, doesn't mean kwamba when we differ kwenye vitu ambavyo vinahusiana na taifa hili basi hata kusalimiana tusisalimiane that will be too cheap

...yeah especially when kale kahoteli ketu (Bills?) kapo kwenye hati hati ya.....
 
DU HII KALI NILISHASEMA WANASIASA NI SAWA NA NDEGE WA BAWA MOJA WARUKAO PAMOJA hawataachana ila sisi tutaumizana huku JF na kutukanana, mbona ZITTO aligoma kutomtambua tu yaliyomkuta!
Re: Mbowe: Why I shook hands with Kikwete

wanasiasa waongo aibu. hatumtambui tunamtambua hatumtambui tunamtambua kuondoka bungeni ilikuwa siasa tu. wafie mbali wote. sisi twendeni jangwani tuikomboe nchi yetu.

kama arusha tu mara chitanda susia vikao mara nendeni vikaoni, wizi mtupu!

Re: Mbowe: Why I shook hands with Kikwete

quote_icon.png
Originally Posted by Gaijin
You got to love wanasiasa.

Kuna kushake hands kwa ajili ya formalities tu na kuna kushake hands huku ukifurahia.

Kufuatia watu wawili kuuwawa na polisi Arusha mwezi mmoja uliopita tungetarajiwa kushake hands huku kuwe kwa kutimiza formalities za kiitifaki tu. I hope hicho ndicho kinachoonekana kwenye picha ile.





Na hicho ndo tunachokisahau washabiki wengi wa siasa...

Wakati sisi tukinuniana na kukatana mapanga, wao wakikutana wanashake hands...

Siasa ni kutofautiana kiitikadi, sio uadui.\

Waisraeli na wapalestina wanashake hands, sembuse Kikwete na Mbowe!

Re: Mbowe: Why I shook hands with Kikwete

quote_icon.png
Originally Posted by Jesuit
Vipi ingekuwa ZITTO KABWE ndio kakumbatiana na Kikwete vile JF Hate Brigade si wangemshambulia sana?



Aisee!​





 
....i think politics is not about enemity,,,,hence he was right,,,,hoja ndo zitapambana!
 
Back
Top Bottom