Mbowe una option 2: Kujiuzulu au kuwatimua Lowassa na Sumaye ili chama kirudi kwa wananchi

technically

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
11,975
48,843
Muda Wa kubembelezana umekwisha CCM si chama cha kubembeleza tenda

Wanaoendelea kuichagua CCM ni wajinga wachache sana na mbinu chafu zinatumika kuwahonga mawakala wa upinzani na kuweka kura bandia kwenye masanduku ya kupigia kura kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza........

Jambo la kufanya hapa sio tu kupiga kura eti kuwaachia mawakara na kuondoka no....

Jambo la kufanya unapopiga kura kaa kituoni mpaka matokeo yatangazwe hakuna polisi anayeweza kukupiga Risasi kwa kukaa kituoni bila fujo hakuna polisi 20 eti wanaweza kushindana na watu zaidi ya 200 kituoni .

Police nao ni waoga tu kama walivyo watanzania wengine kwa sababu wao sio waganda.....

Option iliyobaki kwa kuwa kuna tume mbovu ni kulinda matokeo kituoni kwa garama yeyote ....

Option ya pili ni kuwatosa makapi wote Wa CCM maana wengi ni mamluki wametumwa kuja kuua upinzani.......

Wapinzani lazima muelewe mtanzania wa kawaida kabisa hawezi kuingia barabarani kumpigania Lowassa au Sumaye kwa kutumia nguvu ya umma......

Lazima tuwe wa kweli mtu ambaye anaweza jitokeza hatharani ndani ya mkutano Wa hathara kuomba watu waipigie kula CCM wakati yupo chadema tena zaidi ya Mara moja maana Yake nini?..

Lazima mkae mjue kuwa CCM haitaondoka madarakani kwa kubembelezana na kuendelea kuwa na makapi kutoka CCM........

CCM wapo tayari hata kufanya jambo lolote la hatari ili waendelee kukaa madarakani.......

Wapinzani na watanzania tuchukue hatua Ondoa mamluki ndani ya Upinzani then hamasisha nguvu ya umma Police ,Jeshi hawawezi kupambana na nguvu ya umma hata watu million 1 tu tukiamua kulinda matokeo nchi nzima 2020 inawezekana.........

Option ni mbili mbowe kujiuzulu, au kuwatimua mamluki wakina Lowassa na Sumaye kwenye chama ili chama kirudi kwa wananchi........
 
Wanaoendelea kuichagua ccm ni wajinga wachache sana
Heshimu maamuz ya demokrasia usitukane watu, labda kama uwezo wako wa kufikiria umeishia hapo huwezi kulazimisha kuchaguliwa, ndio maana baadhi ya maeneo watu wanachagua mawe, Mbwa sababu ni demokrasia.. Matusi hayasaidii... Ndugu yangu uwezi kuita wajinga wanao ichagua CCM.. Sio demokrasia labda uwe udikteta.. Demokrasia ni uhuru wa kuchagua, maamuzi ya wengi yanatakiwa kuheshimiwa
 
Muda Wa kubembelezana umekwisha ccm si chama cha kubembeleza tenda

Wanaoendelea kuichagua ccm ni wajinga wachache sana na mbinu chafu zinatumika kuwahonga mawakala Wa upinzani na kuweka kura bandia kwenye masanduku ya kupigia kura kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza........

Jambo la kufanya hapa sio tu kupiga kura eti kuwaachia mawakara na kuondoka no....

Jambo la kufanya unapopiga kura kaa kituoni mpaka matokeo yatangazwe hakuna polisi anayeweza kukupiga Risasi kwa kukaa kituoni bila fujo hakuna polisi 20 eti wanaweza kushindana na watu zaidi ya 200 kituoni .

Police nao ni waoga tu kama walivyo watanzania wengine kwa sababu wao sio waganda.....

Option iliyobaki kwa kuwa kuna tume mbovu ni kulinda matokeo kituoni kwa garama yeyote ....

Option ya pili ni kuwatosa makapi wote Wa ccm maana wengi ni mamluki wametumwa kuja kuua upinzani.......

Wapinzani lazima muelewe mtanzania Wa kawaida kabisa hawezi kuingia barabarani kumpigania Lowassa au Sumaye kwa kutumia nguvu ya umma......

Lazima tuwe Wa kweli mtu ambaye anaweza jitokeza hatharani ndani ya mkutano Wa hathara kuomba watu waipigie kula ccm wakati yupo chadema tena zaidi ya Mara moja maana Yake nini?..

Lazima mkae mjue kuwa ccm haitaondoka madarakani kwa kubembelezana na kuendelea kuwa na makapi kutoka ccm........

Ccm wapo tayari hata kufanya jambo lolote la hatari ili waendelee kukaa madarakani.......

Wapinzani na watanzania tuchukue hatua Ondoa mamluki ndani ya Upinzani then amasisha nguvu ya umma Police ,Jeshi hawawezi kupambana na nguvu ya umma hata watu million 1 tu tukiamua kulinda matokeo nchi nzima 2020 inawezekana.........

Option ni mbili mbowe kujiuzulu, au kuwatimua mamluki wakina Lowassa na Sumaye kwenye chama ili chama kirudi kwa wananchi........
mumeshindwa tu wacha kuweweseka. mnawauzia watu sura ya edo na mkewe wakati ni watetezi wa ufisadi. mnafikiri watu wajinga hawajui. mnajidai eti mnajitambua kumbe ni sera za kujitajirisha juu ya migongo ya raia wengine. visingizio kibao. kibajaj alisema sawa chama cha siasa afrika kikishindwa uchaguzi mara tatu kinageuka cha kigaidi. mungu apishilie mbali maana kuna dalili.
 
Nakuheshimu sana kijana,upinzani siyo chadema tu,kama unaona CHADEMA haikufai au huwapendi hao watu hamia ACT.CHADEMA imejengwa kwa miaka mingi sana,sasa siyo wakati wa harakati,ni wakati wa kuchukua nchi tutamtumia hata Magifuli ili mradi CCM itoke na ife moja kwa moja.
 
mumeshindwa tu wacha kuweweseka. mnawauzia watu sura ya edo na mkewe wakati ni watetezi wa ufisadi. mnafikiri watu wajinga hawajui. mnajidai eti mnajitambua kumbe ni sera za kujitajirisha juu ya migongo ya raia wengine. visingizio kibao. kibajaj alisema sawa chama cha siasa afrika kikishindwa uchaguzi mara tatu kinageuka cha kigaidi. mungu apishilie mbali maana kuna dalili.
Hakuna sehemu CHADEMA imeshindwa kati ya kata ishirini CCM ilikuwa na kata 19 CHADEMA 1,matokeo ya Jana pia ni hayo hayo CHADEMA imeshindwa wapi sasa?
 
  • Thanks
Reactions: bne
...Option ni mbili mbowe kujiuzulu, au kuwatimua mamluki wakina Lowassa na Sumaye kwenye chama ili chama kirudi kwa wananchi........

Kwamba Mbowe akichomoka, automatically mambo yataanza kuinyokea CHADEMA/UKAWA?
Ukitimua ''mamluki'' wote then chama kikarudi kwa wananchi (waliokuwepo kabla mamluki hawajaja) automatically mambo yataanza kunyoka?

Witch-hunting haitasaidia. Kuna haja ya kuangalia critical issues zinazofanya wananchi waendelee kuichagua CCM badala ya kudeal na mtu mmoja mmoja.
 
Unaweza kuwa unatumika na usijue kuwa unatumika, unajifanya mwanachadema huku unatumia propaganda zile zile za wapinzani wako.
 
Nakuheshimu sana kijana,upinzani siyo chadema tu,kama unaona CHADEMA haikufai au huwapendi hao watu hamia ACT.CHADEMA imejengwa kwa miaka mingi sana,sasa siyo wakati wa harakati,ni wakati wa kuchukua nchi tutamtumia hata Magifuli ili mradi CCM itoke na ife moja kwa moja.
wewe unaota ndoto. chama gani imara kinapokea makapi toka chama kingine yaliyotoswa kugombea urais na siku hiyo hiyo kuwageuza mgombea wao urais. chadema sio chama cha siasa wala cha uharakati. chadema in actual sense ni kampuni ya mbowe et al. mwenye hisa nyingi ndio mwenye sauti. watanzania kamwe hawakubali nchi kuongozwa na kampuni binafsi.
 
Matatizo si Mbowe,Lowassa au Sumaye.
Tatizo ni mtu anaemlinda Lipumba ambae amekuja kugawa nguvu ya ukawa.
Angalia kwa undani kabla hujaweka Uzi, kama ukawa ingekuwepo basi upinzani ungeweza kujizolea viti vya ziada toka ccm kama 8 au na zaidi. Je hilo ni tatizo LA Mbowe, lowassa au sumaye?
Tusilaumu tulipoangukia, tulaumu tulipo jikwaa.
 
Muda Wa kubembelezana umekwisha CCM si chama cha kubembeleza tenda

Wanaoendelea kuichagua CCM ni wajinga wachache sana na mbinu chafu zinatumika kuwahonga mawakala wa upinzani na kuweka kura bandia kwenye masanduku ya kupigia kura kabla ya zoezi la kupiga kura kuanza........

Jambo la kufanya hapa sio tu kupiga kura eti kuwaachia mawakara na kuondoka no....

Jambo la kufanya unapopiga kura kaa kituoni mpaka matokeo yatangazwe hakuna polisi anayeweza kukupiga Risasi kwa kukaa kituoni bila fujo hakuna polisi 20 eti wanaweza kushindana na watu zaidi ya 200 kituoni .

Police nao ni waoga tu kama walivyo watanzania wengine kwa sababu wao sio waganda.....

Option iliyobaki kwa kuwa kuna tume mbovu ni kulinda matokeo kituoni kwa garama yeyote ....

Option ya pili ni kuwatosa makapi wote Wa CCM maana wengi ni mamluki wametumwa kuja kuua upinzani.......

Wapinzani lazima muelewe mtanzania wa kawaida kabisa hawezi kuingia barabarani kumpigania Lowassa au Sumaye kwa kutumia nguvu ya umma......

Lazima tuwe wa kweli mtu ambaye anaweza jitokeza hatharani ndani ya mkutano Wa hathara kuomba watu waipigie kula CCM wakati yupo chadema tena zaidi ya Mara moja maana Yake nini?..

Lazima mkae mjue kuwa CCM haitaondoka madarakani kwa kubembelezana na kuendelea kuwa na makapi kutoka CCM........

CCM wapo tayari hata kufanya jambo lolote la hatari ili waendelee kukaa madarakani.......

Wapinzani na watanzania tuchukue hatua Ondoa mamluki ndani ya Upinzani then hamasisha nguvu ya umma Police ,Jeshi hawawezi kupambana na nguvu ya umma hata watu million 1 tu tukiamua kulinda matokeo nchi nzima 2020 inawezekana.........

Option ni mbili mbowe kujiuzulu, au kuwatimua mamluki wakina Lowassa na Sumaye kwenye chama ili chama kirudi kwa wananchi........
Nifahamishe mkuu ni nani uyo aliesema watu wachague ccm angali yupo chadema?
 
Back
Top Bottom