Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 2,633
- 2,378
Je nani aliwahi kutukana Mkuu ?.Huyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.
Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
Naomba maana yaHuyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.
Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
ameletw mchango mkubwa but walioijenga chadema wapo japo wamebakiwnachache mno.Huyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
Sasa chama kinaangamia kwani viongozi waliopo mihemko mingiameletw mchango mkubwa but walioijenga chadema wapo japo wamebakiwnachache mno.
nyakati zinabadilika, vizazi vinabadilika, na kila wenye kizaz wana mahitaj tofauti,
Yes mbowe amefanya mengi na naheshimu mchango wake ila alipojiingiza kwenye mtego ndio ukamuondoa
CDM ikiangamia si ndio vizuri kweli sasa kipi kinachokusikitisha? Dawa imewaingia ngoja dozi iongezwe huyu Mbowe si ndio mlikua mnasema anamiliko Saccos au alibadilika lini?Huyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.
Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
Naomba maana ya
1. Busara
2. Hekima
Mimi chadema ilikuwa damuni ingawa sina kadi.Nimeanza kuipuuza chadema baada ya kuogopa kushiriki uchaguzi na viongozi wake kukosa mwelekeo.CDM ikiangamia si ndio vizuri kweli sasa kipi kinachokusikitisha? Dawa imewaingia ngoja dozi iongezwe huyu Mbowe si ndio mlikua mnasema anamiliko Saccos au alibadilika lini?
No reform No Election
Sasa chama kinaangamia kwani viongozi waliopo mihemko mingi
Chadema imejengwa na wanachadema akiwepo Mbowe. Kwa sasa Mbowe ni mwanachama wa Chaumma na ndiye mgombea urais wao.Huyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.
Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
Watu waelewe hivyo Mbowe ametembelea upepo wa CHADEMA.Chadema Imejengwa Na Wananchi.
Ni mbowe ndo alikua anatembelea Upepo wa Chadema, Chadema haitembei na Uoepo wa Mbowe.
Hili litathibitishwa siku akitangaza kuhama chama, Ndo utaona kati ya Mbowe na Chadema nani Mkubwa
Lakini na yeye aliwekwa ndani karibia mwaka,ni mzuri Leo kwasababu yuko nje ya ulingo au?Huyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.
Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
Sifa za kijinga, halafu mkambambikia kesi ya ugaidi.Huyu jamaa kaijenga CHADEMA kwa maarifa makubwa sana.Busara,hekima na karama ya uongozi zilimbeba sana.Alifanya siasa siyo uharakati.
Sijawahi kumsikia akitukana ,kutumia lugha chafu au kudhalilisha wengine.Nasikitika kuona chadema ikiangamia kwa kukosa maarifa.Hotuba ya mama leo imebamba
Sifa za kijinga, sawa. Mwambie Lissu na Heche waanzishe chama chengine nje ya Chadema tuone kama watatoboa.Sifa za kijinga, halafu mkambambikia kesi ya ugaidi.
Cdm haina machawa wa aina yako.Mimi chadema ilikuwa damuni ingawa sina kadi.Nimeanza kuipuuza chadema baada ya kuogopa kushiriki uchaguzi na viongozi wake kukosa mwelekeo.
chadema hana nguvu hio, mbowe ndo alikua ukuta mkuu wa chadema bila yeye ata lissu angebakigi uko belgium ni busara tu ilitumikaChadema Imejengwa Na Wananchi.
Ni mbowe ndo alikua anatembelea Upepo wa Chadema, Chadema haitembei na Uoepo wa Mbowe.
Hili litathibitishwa siku akitangaza kuhama chama, Ndo utaona kati ya Mbowe na Chadema nani Mkubwa