Kuna mtu mmetudanganya ni Dr akijitokeza wa kuhoji mnamuua.
Dj aliyepata ziro lakini anaongoza maprofesa
Dj aliyepata ziro lakini anaongoza maprofesa
[emoji3][emoji3][emoji3]Alizaliwa tarehe 14 September .Jana tarehe 13 September kikatiba ya chadema ndio Ilikuwa siku yake ya Mwisho Kama mwenyekiti wa chadema taifa kwa mujibu wa katiba ya chadema Ina maana Leo hi tarehe 14 September Ni siku yake ya kuzaliwa na siku yake ya kwanza ya kutawala chadema kidikteta kimabavu Bila ridhaa ya wanachama wa Chadema.Hivyo Leo anasherehekea pia siku ya kuwa mwenyekiti wa mabavu wa Chadema.Happy birthday dictator mbowe on your first day celebration of your dictatorshipi in the Chadema Republic
Atakuwa amebadili gia angani.Leo ni birthday ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Aikael Mbowe.
Imezoeleka na kuambiwa Mbowe alizalliwa Moshi Machame 09.12.1961
Leo naona watu wanamtakia heri ya kuzaliwa.
Tuondoleeni huu utata
Hahahaa..... Ungejua hata CCM kuna ziro kibao zinakuongoza!Dj aliyepata ziro lakini anaongoza maprofesa
Mh upo?....pole na misukosuko!HBD KUB kamanda Mbowe. Long live.
Nipo mkuuMh upo?....pole na misukosuko!
Nashukuru bhana tutafutane mkuu!Nipo mkuu
Hakuna shida mkuuNashukuru bhana tutafutane mkuu!
birthday jumatatuWafuasi wake watuambie.View attachment 1207312View attachment 1207313