Kama sijaelewa kitu apa...
Kama ni fisadi mbona hamamkumshitaki ikiwa serikali ni yenu,,,,!!!
Kwan alieujua wizi wake alikua nani???
Aliekua na nyaraka za uhakika za ufisad wake pia???
Niliufahama vip huo ufisi wake????
Nilifikir wakumshitaki ni sis tuliokua na uhakika na jambo tulilozungumza...
Kwann yeye hakushitak waliomchamfua ikiwa serikal ilikua ni yake???
Mwiz ni mwiz tu hata akijipa cheo cha usalama wa mali za raia....