Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,959
- 29,332
Wanaccm mnaajenda ovu, mmetuibia sasa mnaleta ajenda ovu ili maovu yenu yasijadiliweNilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Mbowe must goView attachment 3047657
Kizimkazi must go
Chukuwa fomu kama alivyofanya Sugu kumng'owa Msigwa.Nilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Amemsamehe Rais Samiah Baada ya kumdhalilisha kwa kumuita gaidi mbele ya Dunia nzima.Ndio sababu akaanza Uasi kwa Nchi?
Kesi ipo mahakamani, hakupewa tu. Ukweli alitaka kuleta Utoto wa mjini dhidi ya Serikali-ameanza kunyooka sasa.
Unataka kusema hujui yaliyokuwa yakifanyika Mbowe? Somethings never change, just the degree of how...
Mimi nimeuliza. Hatahivyo ishara nyingi zinapeleka aitwe hivyo tu.
Mbowe ni mtu wa Vinyongo. Hajui ku concede. A well known trait. Mbowe anamsamehe nani?
Hongera sana . Umeandika kifalsafa Sana.Mbowe must go.
Umeme ghali,unakatika katika Mbowe ni sababu.Mbowe must go.
Msafara wa Bi Tozo magari ya kufahari V8 147.Mbowe ndiye mnunuzi mkuu wa magari ya serekali [ Procurement Commissioner].Mbowe must go.
Ukosefu wa ajira,vijana wetu wamemaliza vyuo vikuu Medical Doctors, Nurses,Accountants,Marketing consultants,Financial consultants,Logistics management consultants......... wote hawana ajira tatizo ni Mbowe.Mbowe must go.
Reports mbaya za matumizi mabaya ya walipa kodi yamebainishwa na ofisi ya CAG hakuna aliyefungwa,hakuna aliyeshtakiwa,hakuna hatua za maana za kinidhamu zilizochukuliwa.Ukienda mbali Mbowe ndiye mtetezi mkuu wa wabadhirifu wa mali ya umma.Mbowe must go.
Mbowe kauza Ngorongoro,Kilimanjaro International Airport,Bandari,Misitu.........Mbowe must go.
Mbowe katuletea tozo za miamala ya simu,bill za Tanesco.....Mbowe must go.
Hali ya uchumi ni mbaya fedha za kigeni ni haba usd hazionekani mitaani.Usd zote Mbowe kazificha huko kwao Machame.Mbowe must go.
Maendeleo hakuna kwasababu ya Mbowe.Mbowe must go.
Aliyetuloga Watanganyika kazikwa wapi,tumfukue labda ataturejeshea akili na maarifa.
Na hasa ikizingatiwa kuwa wote wanaopiga kelele za Mbowe must go ni maccm kwa ushahidi wa hawa wa hapa JF,Mbowe akiondoka ina maana anatii shinikizo la maccm ambao ni maadui namba moja wa Chadema. Mimi ni mwanachama hai wa Chadema na ningependa tuwe na mwenyekiti mpya lakini kwa shinikizo hili la wanaccm nasema Mbowe aendelee at least hadi baada ya uchaguzi mkuu wa 2025 ndiyo aitishe uchaguzi. Haiingii akilini CCM ndiyo watushinikize jinsi ya kuendesha chama chetu. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti hajavunja Katiba. CCM mkome kabisa kuingilia mambo ya ndani ya Chadema.Kwani mwenyekiti si anapatikana kwa kupigiwa kura? Kama ndio Sasa yeye anamakosa gani? Kwa maana kama ni kugombea ni haki ya kila mwanachama na yeye ni mwanachama kwahiyo anagombea ili kutimiza haki yake ya kikatiba ila kinachotokea ni kwamba ninyi wenyewe ndio mnaempa kura zenu zinazomfanya aendelee kuwa pale alipo.
Kwahiyo hizi movement za must go ni zakitoto sana coz hakujiweka mwenyewe na wote tunaamini chadema ni chama kikongwe cha upinzani na ndio chama kinachoamini kwenye uchaguzi wa uhuru na haki so kila kinachotokea kwenye uchaguzi wa chama tunaamini kwa asilimia zote kwamba kimenyooka.
So "Mbowe must go" is a childish movement coz hata ingekua mimi ndio Mbowe wala nisingeondoka as long as kila nikigombea wananchi bado wanaendelea kunichagua, hii inaonesha kwamba wanaona value yangu kwa chama na wanataka waendelee kuongozwa na mimi.
Wewe sio mwanachama wa chadema mbowe must goNa hasa ikizingatiwa kuwa wote wanaopiga kelele za Mbowe must go ni maccm kwa ushahidi wa hawa wa hapa JF,Mbowe akiondoka ina maana anatii shinikizo la maccm ambao ni maadui namba moja wa Chadema. Mimi ni mwanachama hai wa Chadema na ningependa tuwe na mwenyekiti mpya lakini kwa shinikizo hili la wanaccm nasema Mbowe aendelee at least hadi baada ya uchaguzi mkuu wa 2025 ndiyo aitishe uchaguzi. Haiingii akilini CCM ndiyo watushinikize jinsi ya kuendesha chama chetu. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti hajavunja Katiba. CCM mkome kabisa kuingilia mambo ya ndani ya Chadema.
Hata huyo mbilikimo wenu aliyekuwa houseboy wa mzungu anayeendelea kumtukana mwenyekiti wetu anafanya kosa la jinai na uchochezi kuingilia mambo ya ndani ya Chadema. Muonyeni kabisa Msigwa azungumzie mambo ya CCM akome kabisa kumtukana mwenyekiti wetu. Inaoneka CCM kimekuwa kigenge cha wahuni kumuandalia Msigwa mikutano na kusomba watu waje wamsikilize anavyoitukana Chadema badala ya kueneza sera za CCM.
Watu wengi wamekuwa wakiwaelekezea chadema wapambane huko kwanza, ngazi ya shina. Ww si wa kwanzaSiasa Siyo uadui wakati wote.Mbowe amejitahidi sana kupambana, amefungwa,amefilisiwa na amevunjwa mguu lakini hakukata tamaa,wengine wanashabikia nyuma ya keyboard,hawajui uchungu wa kupambana na CCM uso kwa uso. Lissu mwenyewe aliitisha maandamano 2020 baada ya kushindwa uchaguzi nchi nzima ikashindikana. wananchi wakamsaliti. Mapambano ya ukombozi siyo rahisi ki hivyo. Kinacho mshinda Mbowe na chadema ni CCM -chama dola. mapambano ni mchakato na ni dynamic. Sasa hivi Chadema elekezeni nguvu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa msiwajibu waliotumwa na wadaka vyeo.
Atawapa tabu sana, bado anahitajika sana na katiba inamruhusu, asiyemtaka ndiye asepeNilitoka kusema huyu mzee tangia ujanani mwake mpaka sasa hivi amezeeka amekuwa aking'ang'ania hiyo nafasi ya Uenyekiti ili aendelee kupiga mabilioni ya ruzuku.
Sasa leo watu wamempa makavu kwamba asepe, yaani mtu kwenye chama tu hutaki kuachia madaraka ukipewa nchi si yatakuwa ya Mugabe.
Aisee wewe Mbowe ondoka, tumekuchoka, tafuta kazi ya kufanya, achia ngazi sababu wewe ni kibaraka wa CCM.
#MboweMustGo
Mbowe must go kwaniniAtawapa tabu sana, bado anahitajika sana na katiba inamruhusu, asiyemtaka ndiye asepe
Cha kushangaza wanaoumia wengi ni fisiemu kwani hawana pa kwenda. Kama wewe ni Cdm na haumtaki Mbowe sepa kwa fisiemuPoleni sana Wanachadema. I feel your pain. Your life long Dictator must go🙌🏾
Kibaraka tyuu?
=======================
Mbowe must goCha kushangaza wanaoumia wengi ni fisiemu kwani hawana pa kwenda. Kama wewe ni Cdm na haumtaki Mbowe sepa kwa fisiemu
Kama alivyosepa yule beki tatu wa mzungu anayejiita Mchungaji Msigwa.Cha kushangaza wanaoumia wengi ni fisiemu kwani hawana pa kwenda. Kama wewe ni Cdm na haumtaki Mbowe sepa kwa fisiemu
Akuvushe wewe huna macho"MBOWE TUVUSHE MWAMBA"
TUNAIMANI NA WEWE.
Hotuba za kuchafuana hazichelewi kuwauzi watu. hawajui watanzania. sympathy itahamia kwa Mbowe aliyefungwa kwa kusingiziwa gaidi. huyu bwana ameumia sana na anaendekea kuumizwa na akina Msigwa- Kambona msaliti wa Nyerere. anawataja akina Lissu,Mnyika,Heche, Lema ili akipasue chama. ulikuwa wapi kuyasema yote hayo ukiwa huko. huaminiki tenaNa hasa ikizingatiwa kuwa wote wanaopiga kelele za Mbowe must go ni maccm kwa ushahidi wa hawa wa hapa JF,Mbowe akiondoka ina maana anatii shinikizo la maccm ambao ni maadui namba moja wa Chadema. Mimi ni mwanachama hai wa Chadema na ningependa tuwe na mwenyekiti mpya lakini kwa shinikizo hili la wanaccm nasema Mbowe aendelee at least hadi baada ya uchaguzi mkuu wa 2025 ndiyo aitishe uchaguzi. Haiingii akilini CCM ndiyo watushinikize jinsi ya kuendesha chama chetu. Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti hajavunja Katiba. CCM mkome kabisa kuingilia mambo ya ndani ya Chadema.
Hata huyo mbilikimo wenu aliyekuwa houseboy wa mzungu anayeendelea kumtukana mwenyekiti wetu anafanya kosa la jinai na uchochezi kuingilia mambo ya ndani ya Chadema. Muonyeni kabisa Msigwa azungumzie mambo ya CCM akome kabisa kumtukana mwenyekiti wetu. Inaoneka CCM kimekuwa kigenge cha wahuni kumuandalia Msigwa mikutano na kusomba watu waje wamsikilize anavyoitukana Chadema badala ya kueneza sera za CCM.