Mbowe: Magufuli aliniahidi Kila aina ya Cheo nikakataa

Mbowe: Magufuli aliniahidi Kila aina ya Cheo nikakataa

Magufuli alijaribu kumhonga Mbowe kwa RUSHWA ya Pesa na Cheo, lakini aliamua kumuua Tundu Lissu Mughwai kwanini alitumia hiyo Strategy ya kumuua mmoja na kumhonga mwingine?

Au Mbowe ni Soft kwenye Mshiko?!
 
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anesema Rais wa Awamu ya 5 Shujaa Magufuli alimuahidi Kila aina ya Cheo Lakini alimkatalia

Source Jambo TV

Lucas Mwashambwa muulize aliahidiwa hadi ucdf na uigp akamkatalia?

Nimekaa pale 🐼

Kwanini hakusema wakati huo alipopewa hizo ahadi? Wafu unaweza kuwasingizia lolote, hawawezi kujibu.

Lissu amesema wakati huo huo walipotaka kumpa rushwa.
 
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anesema Rais wa Awamu ya 5 Shujaa Magufuli alimuahidi Kila aina ya Cheo Lakini alimkatalia

Source Jambo TV

Lucas Mwashambwa muulize aliahidiwa hadi ucdf na uigp akamkatalia?

Nimekaa pale 🐼
Wenda kweli ila hata kama chama kitaendelea kukuhitaji ila sio mda mhafaka kwako kiongozi kuwa mwenyekiti mpendwa , kaa chini mkuu aya yakusema unarudi mzigoni kama utaona chama chako kinaelekea psipo ,vipi kama kesho usiwe mzima ? Maana na chama kitakua kimeishia pale mkuu( sikuombei mabaya mkuu, vyema ukaona vitukuu na vitukuu ,ni mfano tu natoa)
 
Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe anesema Rais wa Awamu ya 5 Shujaa Magufuli alimuahidi Kila aina ya Cheo Lakini alimkatalia

Source Jambo TV

Lucas Mwashambwa muulize aliahidiwa hadi ucdf na uigp akamkatalia?

Nimekaa pale 🐼



Unajua Ndio maana Machadema yanaitwa Manyumbu.


Watu wenye akili timamu huwezi kuwaambia ujinga kama huo !!!

Kwa hiyo Cheo anachokitaka yeye ni Uenyekiti tuu!!

Yaani Mbowe ni Msanii kuliko sanaa yenyewe?
Kama hapendi vyeo mbona ananganagania Uenyekiti ? Wakati huo huo anagombea ubunge , ?

Tungemwamini kama angakua na ukomo wa madaraka ndani ya chama chake ?

Kuna cheo gani angepewa na Magufuli wa akati hakua na athari yoyote kwenye uchaguzi ?
Magufuli alikua anataka watu wenye taaluma kubwa kama akina Profesa Mikenda ,Dr. Kimei ,Dr. Moleli lakini sio Mbowe ambaye anaishia kuwa mkuu wa mkoa au wilaya tu .
Hawezi kuwa Karibu wa wizara . Labda mwenyekiti wa Bodi basi.

Vinginevyo atuambie kuwa yeye anachotaka ni pesa tu kama alivyofurahia wakati wa JK na sasa Abduli
 
Mwenyekiti mbowe, habari yafo meku, Nimekuja kama msee wako, ni hekima kubwa kukaa pembeni ukabakia kama msee wa heshima wa chama hii ni busara sana, ukingangana na hili watanzania hawapati tafsiri nzuri pale chama hiki kitakapo shinda uchaguzi
 
Kati ya Lisu na Mbowe Magufuli alikua anajua mpinzani wa kweli ni yupi na dalali ni yupi.

Ndio maana Magufuli hakuhangaika na Mbowe, alihangaika na Lisu kwa sababu ndio mpinzani wa kweli.
 
Mbowe acha usanii kila mtu mwenye akili tumamu anakumbuka Lissu ndiye alikuwa mwiba kwa JPM, sio wewe!!.
 
Back
Top Bottom