Mbowe, Lowassa Zitto &Co. Wazungu wenu wamewaonyesha njia ya Demokrasia!

Uko nje ya Mada!
Kama unajua demokrasia na wenzio kumbuka waliofanya uamuzi huo ni wananchi siyo chama. Chama kiliheshimu kupeleka hoja kwa wananchi hawakulazimisha. Juu ya hayo maamuzi ya wananchi kwenye kura yameheshimiwa. Hatukusikia Polisi wamehusika . Ruhusini kura ya maoni yatakayofanywa na wananchi kwa Zanzibar na Katiba. Hii ni michakato ya kisiasa mmepiga marufuku siasa mnataka demokrasia IPI?
 
Kila siku mnaimba hapa demokrasia, demokrasia, mara sijui Tanzania hakuna demokrasia kama Ulaya, haya Waziri Mkuu wa Uingereza anajiuzulu kwa sababu ameshindwa kutimiza kile ambacho alikiahidi Chama chake/ kambi yake, sasa Mbowe unajiuzulu lini?
Kwa maana umeiongoza chadema chaguzi tatu mfululizo na umeshindwa zote lkn bado wewe ni Mwenyekiti wa Chama na kama hilo halitoshi wewe bado ni KUB vipindi viwili mfululizo ingawaje hakuna uchaguzi uliyowahi kushinda!

Sasa mbona hapa hamtaki kuiiga demokrasia ya Wazungu? Au demokrasia ya Wazungu nzuri pale mnaponufaika?

Tayari tunamsikia fisadi Lowasa anataka kuwania tena uraisi mwaka 2020 huku akiimba demokrasia ingawaje alishindwa uchaguzi na isitoshe hakuna kikao chochote kilichompitisha kugombea uraisi 2020, je hiyo ni demokrasia?

Vile vile Zito Kabwe ambaye umekua ukipayuka sana siku za hivi karibuni kuhusu demokrasia na umeenda mbali zaidi na kumtuhumu Magufuli wetu kwamba hafwati demokrasia kama unavyoielewea wewe yaani demokrasia ya kizungu, mbona wewe (Zito) haukujiuzulu kama Kameruni (Waziri Mkuu wa Uingereza) au Wazungu wengine wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa Uchaguzi?

Zito Kabwe amekiongoza Chama chake cha ACT kwenye Uchaguzi ameshindwa vibaya sana siajabu haijawahi kutokea ktk Historia ya Dunia hii Kiongozi anayejinasibu kama Zito kwamba yeye ndiyo yeye anashindwa hata kupata Mbunge mmoja zaidi ya yeye mwenyewe hivyo kidemokrasia ina maana Zito Kabwe ni failure na hapaswi hata kuwa kiongozi, kwa maana ameshindwa kutushawawishi Watanzania tupigie kura Wabunge wake, vipi hapo demokrasia? Au ikifikia hapo inakuwa wale ni Wazungu na sisi ni Waafrika?

Lisu, Baregu &Co. mko wapi kuhusu hili?
Mkuu hakuna upinzani Tanzania, kuna waganga njaa tu!
Kama kuna somo la kujifunza toka kwa Cameron , Mbowe anatakiwa kujiuzulu.
 
Basi utakuwa mgeni wa nchi hii na utaratibu na Katiba ya CCM hauijui, na isitoshe CCM siku zote wanasema wanafwata demokrasia ya Kitanzania, yaani siyo kila kinachofanywa na Wazungu lazima tuige lkn Upinzani (ukawa) wanailaumu nchi yetu kwa kutokufwata demokrasia ya kizungu wakati wao wenyewe linapokuja kwenye swala la Uongozi wanaikanyaga hiyo hiyo demokrasia ya kizungu!
Utalaumu vipi vyama ambavyo havina madaraka ?! CCM imeunda mfumo mbaya kuwafaidisha. na matunda yake ni kuwa na kina Barborsa
 
Kama unajua demokrasia na mabwege wenzio kumbuka waliofanya uamuzi huo ni wananchi siyo chama. Chama kiliheshimu kupeleka hoja kwa wananchi hawakulazimisha. Juu ya hayo maamuzi ya wananchi kwenye kura yameheshimiwa. Hatukusikia Polisi wamehusika . Ruhusini kura ya maoni yatakayofanywa na wananchi kwa Zanzibar na Katiba. Hii ni michakato ya kisiasa mmepiga maruku siasa mnataka demokrasia IPI?


Kwa nini unakwenda nje ya Mada? Hii Mada haihusu Zanzibar na uchaguzi wake kwani tayari kuna Mada nyingi kuhusu hilo hapa JF unaweza kutembelea huko kama ukipenda, hapa naongelea Demokrasia ya Kizungu, kwamba kiongozi akishindwa uchaguzi basi anajiuzulu kwa maana hana jipya tena na kupisha wengine, sasa kwa nini Mbowe ambaye ameongoza chadema chaguzi tatu mfululizo ameshindwa zote bado Mwenyekiti wa chadema? Yaani anakwenda kuiongoza chadema kwenye Uchaguzi wa nne ana lipi jipya? Je hakuna wengine?

Fisadi Lowasa amegombea Uraisi ameshindwa, leo bado miaka 5 uchaguzi mwingine ufike tayari anasema yeye 2020 anaingia Ikulu ni nani amempa nafasi ya kugombea Uraisi kupitia chadema?

Zito kabwe ameshindwa kunadi wagombea wake kama kiongozi wa Chama na ameshindwa vibaya hivyo maana yake ni kwamba Watanzania hatuna imani naye ni kwa nini hajajiuzulu kama Wazungu wanavyofanya?
 
Kila siku mnaimba hapa demokrasia, demokrasia, mara sijui Tanzania hakuna demokrasia kama Ulaya, haya Waziri Mkuu wa Uingereza anajiuzulu kwa sababu ameshindwa kutimiza kile ambacho alikiahidi Chama chake/ kambi yake, sasa Mbowe unajiuzulu lini?
Kwa maana umeiongoza chadema chaguzi tatu mfululizo na umeshindwa zote lkn bado wewe ni Mwenyekiti wa Chama na kama hilo halitoshi wewe bado ni KUB vipindi viwili mfululizo ingawaje hakuna uchaguzi uliyowahi kushinda!

Sasa mbona hapa hamtaki kuiiga demokrasia ya Wazungu? Au demokrasia ya Wazungu nzuri pale mnaponufaika?

Tayari tunamsikia fisadi Lowasa anataka kuwania tena uraisi mwaka 2020 huku akiimba demokrasia ingawaje alishindwa uchaguzi na isitoshe hakuna kikao chochote kilichompitisha kugombea uraisi 2020, je hiyo ni demokrasia?

Vile vile Zito Kabwe ambaye umekua ukipayuka sana siku za hivi karibuni kuhusu demokrasia na umeenda mbali zaidi na kumtuhumu Magufuli wetu kwamba hafwati demokrasia kama unavyoielewea wewe yaani demokrasia ya kizungu, mbona wewe (Zito) haukujiuzulu kama Kameruni (Waziri Mkuu wa Uingereza) au Wazungu wengine wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa Uchaguzi?

Zito Kabwe amekiongoza Chama chake cha ACT kwenye Uchaguzi ameshindwa vibaya sana siajabu haijawahi kutokea ktk Historia ya Dunia hii Kiongozi anayejinasibu kama Zito kwamba yeye ndiyo yeye anashindwa hata kupata Mbunge mmoja zaidi ya yeye mwenyewe hivyo kidemokrasia ina maana Zito Kabwe ni failure na hapaswi hata kuwa kiongozi, kwa maana ameshindwa kutushawawishi Watanzania tupigie kura Wabunge wake, vipi hapo demokrasia? Au ikifikia hapo inakuwa wale ni Wazungu na sisi ni Waafrika?

Lisu, Baregu &Co. mko wapi kuhusu hili?
Baeleze baelezee
 
Mkuu hakuna upinzami Tanzania, kuna waganga njaa tu!
Kama kuna somo la kujifunza toka kwa Cameron , Mbowe anatakiwa kujiuzulu.
Anatakiwa kujiuzulu kwa lipi? Toa sababu halafu baada ya hapo tuje kwa malaika kuhusiana na zanzibar alitakiwa kujiuzu
 
Kila siku mnaimba hapa demokrasia, demokrasia, mara sijui Tanzania hakuna demokrasia kama Ulaya, haya Waziri Mkuu wa Uingereza anajiuzulu kwa sababu ameshindwa kutimiza kile ambacho alikiahidi Chama chake/ kambi yake, sasa Mbowe unajiuzulu lini?
Kwa maana umeiongoza chadema chaguzi tatu mfululizo na umeshindwa zote lkn bado wewe ni Mwenyekiti wa Chama na kama hilo halitoshi wewe bado ni KUB vipindi viwili mfululizo ingawaje hakuna uchaguzi uliyowahi kushinda!

Sasa mbona hapa hamtaki kuiiga demokrasia ya Wazungu? Au demokrasia ya Wazungu nzuri pale mnaponufaika?

Tayari tunamsikia fisadi Lowasa anataka kuwania tena uraisi mwaka 2020 huku akiimba demokrasia ingawaje alishindwa uchaguzi na isitoshe hakuna kikao chochote kilichompitisha kugombea uraisi 2020, je hiyo ni demokrasia?

Vile vile Zito Kabwe ambaye umekua ukipayuka sana siku za hivi karibuni kuhusu demokrasia na umeenda mbali zaidi na kumtuhumu Magufuli wetu kwamba hafwati demokrasia kama unavyoielewea wewe yaani demokrasia ya kizungu, mbona wewe (Zito) haukujiuzulu kama Kameruni (Waziri Mkuu wa Uingereza) au Wazungu wengine wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa Uchaguzi?

Zito Kabwe amekiongoza Chama chake cha ACT kwenye Uchaguzi ameshindwa vibaya sana siajabu haijawahi kutokea ktk Historia ya Dunia hii Kiongozi anayejinasibu kama Zito kwamba yeye ndiyo yeye anashindwa hata kupata Mbunge mmoja zaidi ya yeye mwenyewe hivyo kidemokrasia ina maana Zito Kabwe ni failure na hapaswi hata kuwa kiongozi, kwa maana ameshindwa kutushawawishi Watanzania tupigie kura Wabunge wake, vipi hapo demokrasia? Au ikifikia hapo inakuwa wale ni Wazungu na sisi ni Waafrika?

Lisu, Baregu &Co. mko wapi kuhusu hili?

Hili swali uliwahi muuliza mwenyekiti wako wa chama?
 
Hivi ccm lini walifanya uchaguzi wa mwenyekiti akashindanishwa na mwanachama mwingine wa ccm?
CCM wanachofanya ni shindanisha wagombea wao wa urais kwa uwazi na yeyote anayepata nafasi ya kukiwakilisha chama katika nafasi ya urais na kushinda inakuwa ni automatic election kwa nafasi ya mwenyekiti wa CCM.
 
Anatakiwa kujiuzulu kwa lipi? Toa sababu halafu baada ya hapo tuje kwa malaika kuhusiana na zanzibar alitakiwa kujiuzu


Kwa kuongoza Chama chake kwenye chaguzi tatu mfululizo na kushindwa zote, hivyo kama vile Wazungu wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa hujiuzulu!
 
Kwa kuongoza Chama chake kwenye chaguzi tatu mfululizo na kushindwa zote, hivyo kama vile Wazungu wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa hujiuzulu!
Je maoni ya waliomweka hapo yakoje na mawazo yake yakoje. Maana Cameroon amejiuzulu baada ya kile alichokua anakiamini kushindikana.na uchaguzi ulikuwa huru na haki je uchaguzi wa hapa ukoje?
 
Vyama vya upinzani bado havijajengeka kiuongozi kuweza kupata mbadala kirahisi. Umasikini wa kiuchumi na hata fikra ni tatizo kubwa. Ĺazima wawe makini na uwezekano wa kununuliwa hasa wakati wa uchaguzi.
 
Huku huoni mtu katia mgu. Wengi mabaya ni ya CCM tu. Na huku wakitaka CCM ifuate za wazungu.

..sasa ccm imetuahidi mangapi lakini wameshindwa kuyatimiza?

..tangu 1977 mpaka leo unafikiri viongozi wangapi wa ccm walipaswa kujiuzulu kwa kushindwa kutimiza ahadi walizotoa?

Barbarosa
 
Kila siku mnaimba hapa demokrasia, demokrasia, mara sijui Tanzania hakuna demokrasia kama Ulaya, haya Waziri Mkuu wa Uingereza anajiuzulu kwa sababu ameshindwa kutimiza kile ambacho alikiahidi Chama chake/ kambi yake, sasa Mbowe unajiuzulu lini?
Kwa maana umeiongoza chadema chaguzi tatu mfululizo na umeshindwa zote lkn bado wewe ni Mwenyekiti wa Chama na kama hilo halitoshi wewe bado ni KUB vipindi viwili mfululizo ingawaje hakuna uchaguzi uliyowahi kushinda!

Sasa mbona hapa hamtaki kuiiga demokrasia ya Wazungu? Au demokrasia ya Wazungu nzuri pale mnaponufaika?

Tayari tunamsikia fisadi Lowasa anataka kuwania tena uraisi mwaka 2020 huku akiimba demokrasia ingawaje alishindwa uchaguzi na isitoshe hakuna kikao chochote kilichompitisha kugombea uraisi 2020, je hiyo ni demokrasia?

Vile vile Zito Kabwe ambaye umekua ukipayuka sana siku za hivi karibuni kuhusu demokrasia na umeenda mbali zaidi na kumtuhumu Magufuli wetu kwamba hafwati demokrasia kama unavyoielewea wewe yaani demokrasia ya kizungu, mbona wewe (Zito) haukujiuzulu kama Kameruni (Waziri Mkuu wa Uingereza) au Wazungu wengine wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa Uchaguzi?

Zito Kabwe amekiongoza Chama chake cha ACT kwenye Uchaguzi ameshindwa vibaya sana siajabu haijawahi kutokea ktk Historia ya Dunia hii Kiongozi anayejinasibu kama Zito kwamba yeye ndiyo yeye anashindwa hata kupata Mbunge mmoja zaidi ya yeye mwenyewe hivyo kidemokrasia ina maana Zito Kabwe ni failure na hapaswi hata kuwa kiongozi, kwa maana ameshindwa kutushawawishi Watanzania tupigie kura Wabunge wake, vipi hapo demokrasia? Au ikifikia hapo inakuwa wale ni Wazungu na sisi ni Waafrika?

Lisu, Baregu &Co. mko wapi kuhusu hili?
vipi umepata cha arusha, kenya ama nigeria na jamaica? ok sawa sawa subiri tena mbio za mwenge urudi kwenu kijijini kwani ulikuja kwa mbio hizo hizo,,, ila sikuachi hivi hivi sura kama ngozi ya goti
 
Kila siku mnaimba hapa demokrasia, demokrasia, mara sijui Tanzania hakuna demokrasia kama Ulaya, haya Waziri Mkuu wa Uingereza anajiuzulu kwa sababu ameshindwa kutimiza kile ambacho alikiahidi Chama chake/ kambi yake, sasa Mbowe unajiuzulu lini?
Kwa maana umeiongoza chadema chaguzi tatu mfululizo na umeshindwa zote lkn bado wewe ni Mwenyekiti wa Chama na kama hilo halitoshi wewe bado ni KUB vipindi viwili mfululizo ingawaje hakuna uchaguzi uliyowahi kushinda!

Sasa mbona hapa hamtaki kuiiga demokrasia ya Wazungu? Au demokrasia ya Wazungu nzuri pale mnaponufaika?

Tayari tunamsikia fisadi Lowasa anataka kuwania tena uraisi mwaka 2020 huku akiimba demokrasia ingawaje alishindwa uchaguzi na isitoshe hakuna kikao chochote kilichompitisha kugombea uraisi 2020, je hiyo ni demokrasia?

Vile vile Zito Kabwe ambaye umekua ukipayuka sana siku za hivi karibuni kuhusu demokrasia na umeenda mbali zaidi na kumtuhumu Magufuli wetu kwamba hafwati demokrasia kama unavyoielewea wewe yaani demokrasia ya kizungu, mbona wewe (Zito) haukujiuzulu kama Kameruni (Waziri Mkuu wa Uingereza) au Wazungu wengine wafanyavyo pindi vyama wanavyoviongoza vinaposhindwa Uchaguzi?

Zito Kabwe amekiongoza Chama chake cha ACT kwenye Uchaguzi ameshindwa vibaya sana siajabu haijawahi kutokea ktk Historia ya Dunia hii Kiongozi anayejinasibu kama Zito kwamba yeye ndiyo yeye anashindwa hata kupata Mbunge mmoja zaidi ya yeye mwenyewe hivyo kidemokrasia ina maana Zito Kabwe ni failure na hapaswi hata kuwa kiongozi, kwa maana ameshindwa kutushawawishi Watanzania tupigie kura Wabunge wake, vipi hapo demokrasia? Au ikifikia hapo inakuwa wale ni Wazungu na sisi ni Waafrika?

Lisu, Baregu &Co. mko wapi kuhusu hili?
Good
 
Kura ile imepigwa kwa Uhuru na haki na utashi wa wananchi ndio maana watu wamepinga wazo la Waziri mkuu naye kaona hawezi kuongoza tena walio wengi wenye mawazo tofauti.
Hapa kwetu kila aina ya kura ni wizi tuu. Mfano halisi ni kura ya katiba kwenye BMK, hata pale mnaiba. Mumepigisha kura mpaka marehemu ili 2/3 ipatikane.
Kweli unaweza kuja hata na bila aibu ukazungumza kuhusu uchaguzi wowote au suala la kura?
Ni Tanzania tuu ambako MAREHEMU wanapiga kura na washindi kushangilia
 
Kwani nani kaleta unayotaka? Pale CDM wote ni CCM, harafu kwa tamaa zao mnawaona wakombozi.

Achana na wezi hawa.
..sasa ccm imetuahidi mangapi lakini wameshindwa kuyatimiza?

..tangu 1977 mpaka leo unafikiri viongozi wangapi wa ccm walipaswa kujiuzulu kwa kushindwa kutimiza ahadi walizotoa?

Barbarosa
 
Hiyo msg ilitakiwa kupelekwa kwa CCM, wameahidi maisha mazuri kwa Watanzania tangu napata akili mpk leo hali ni ile ile, Ulimwengu anasema tunarudi nyuma miaka 50........nadhani kwa kushindwa kuwapa Watanzania maisha bora kwa wakati wote huo CCM ndio walipaswa wakae pembeni ili kuona wengine watalifanyia nini Taifa.......hata Zanzibar tu ingetosha kuonesha tofauti ya fikra na uongozi wa Nchi.
Mbowe haijawahi kutawala hayo ni mambo ya ndani ya chama sisi hayatuhusu mbona wenyewe hawa lalamiki?
Mbowe ni dikteta.
 
Kwani nani kaleta unayotaka? Pale CDM wote ni CCM harafu kwa tamaa zao mnawaona wakombozi.

Achana na wezi hawa.

..aliyejiuzulu ni waziri mkuu aliyekuwa madarakani. Unaweza kumlinganisha na Raisi wa Tz.

..sasa kwanini mtoa mada haulizi kwanini Nyerere, Mwinyi, Mkapa, na Kikwete, hawakujiuzulu baada ya kushindwa ktk utekelezaji wa ahadi walizitoa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom