technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
kumbuka uko nyuma ya KEYBOARD,unaona umejifichaaaaaaaaaNipo tayari kuandamana endapo Mbowe ,Lowassa,Sumaye na wake zao na watoto zao watatangulia mbele Mimi niwe katikati yao !!
Nipo tayari nipo tayari maana hata Dr Slaa Tuliandamana naye akiwa na mke wake akapigwa akavunjwa mkono na mke wake akaumia kichwa lakini
Mwishowe mbowe ulimkata Dr Slaa kwenye uchaguzi ulipita
Mimi sitaki unikate tangulia twende wote!!!
Mkuu ni unafiki kiwango cha PhD kuwakusanya watoto wa masikini na kiwapeleka mtaani eti kwa sababu hawana kazi!!Wamefanya siasa za maandamano miaka 15 sasa lakini wao na familia zao hawajwahi kuchubuka hata unywele wakati watoto wa wengine wakifa, kuumizwa na kulemaa. Watu wa ajabu kwelikweli
Siyo tu unafiki, ni dhambi kwa Mungu.Mkuu ni unafiki kiwango cha PhD kuwakusanya watoto wa masikini na kiwapeleka mtaani eti kwa sababu hawana kazi!!
Wewe mi nipo Street na smart yangu !!kumbuka uko nyuma ya KEYBOARD,unaona umejifichaaaaaaaaa
Kasema kweli lakini.kumbuka uko nyuma ya KEYBOARD,unaona umejifichaaaaaaaaa
Team Lowassa utawaweza? Tangu akatwe mkia kule CCM na baadaye kwenye uchaguzi , wamevurugwaje?Wewe mi nipo Street na smart yangu !!
Kawamaliza kabisaTeam Lowassa utawaweza? Tangu akatwe mkia kule CCM na baadaye kwenye uchaguzi , wamevurugwaje?
Mama huyu alistaili kuwa mpigania democrasia sio hawa!!View attachment 372986
Huyu Mwanamke alikuwa jasiri sana, Regina Lowassa na Mama Mbowe wanayaweza haya kweli?
Siku hao wake wa mboe na Lowassa ukiwaona kwenye maandamano ujue mwisho wa dunia umefikaView attachment 372986
Huyu Mwanamke alikuwa jasiri sana, Regina Lowassa na Mama Mbowe wanayaweza haya kweli?
Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?Wamefanya siasa za maandamano miaka 15 sasa lakini wao na familia zao hawajwahi kuchubuka hata unywele wakati watoto wa wengine wakifa, kuumizwa na kulemaa. Watu wa ajabu kwelikweli
Nipo tayari kuandamana endapo Mbowe ,Lowassa,Sumaye na wake zao na watoto zao watatangulia mbele Mimi niwe katikati yao !!
Nipo tayari nipo tayari maana hata Dr Slaa Tuliandamana
naye akiwa na mke wake akapigwa akavunjwa mkono na mke wake akaumia kichwa lakini Mwishowe mbowe ulimkata Dr Slaa kwenye uchaguzi ulipita
Mimi sitaki unikate tangulia twende wote!!!
Tarehe 1Lini hayo maandamano na yanahusu nini?
Kwani slaa alivyovunjwa mkono alikuwa amelala kwake??Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?