Mbowe katuudhi, bora turudi CCM

vijana wa ufipani....bangi zitawaumiza!


siwezi kuwaita vijana walumumba majuha kwa kuwa sifikirii wote ni vichaa kama ww ila upo peke yako unaechafua sifa ya vijana wa ccm ujipime kama wafaa kuwa humo wataalamu wanasema ktk msafara wa mamba hata kenge wamo waweza kuwa kenge mmoja unaechafua wenzio kumbuka kila anaepinga ccm sio chadema hii nchi sio ya vyama viwili ndo mana nkakwambia ujipime kama wafaa kuwa huko ufikirio wako na mawazo hata kuku ubongo wake unakuzidi kwa uwezo wa kufikiri na maamuzi.

na kama upo kitengo cha propaganda chafu bas wala pesa zao za bure.
 
Iqraa.....Elimu.
Lumumba elimikeni. Nani kawaambia Mbowe ndiyo chadema???
nadhani wamekosea. hiyo ilikuwa zama zile kabla ya Lowasa. sasa hiv Lowasa ndio chadema. hakuna cha sijui Mtei wala nani
 
hivi dogo kwa malipo ya karanga tu leo umeamrishwa unifatilie? ...nina uhakika unatumia ID ya chadema.
 
haya magizo ya masabuli bado yapo nildhali yalisha kipindi cha uchaguzi wanarudi kwa lipi?
 
...eti Mbowe kawauzi,kesho atawaletea na sindano kabisa, mkashone, muache umbeya uku!
 
...yaani Moshi iliyotapakaa Chadema kila mahali,mmeokoteza hapo vijana 12 tu!, halafu mnakuja mbio kuanzisha uzi huku?!
 
hivi dogo kwa malipo ya karanga tu leo umeamrishwa unifatilie? ...nina uhakika unatumia ID ya chadema.


nshakupoteza kabisa unachokiongea unakijua mwenyewe hapo ndo uwezo wako ulipoishia kwa kumalizia mimi sio levo zako hilo lishajidhihirisha natakiwa kupambana na kina kinana wewe bado mchanga sana ndo mana nkasema waliokuajiri ktk kitengo unachokitumikia unapata malipo yasiyo stahiki yako huna tofaut na mtumishi hewa.
 
Mtumishi hewa namba moja ni Salum Mwalum,hakai unguja kueneza chama....yeye yupo ufipa mnavuta naye bangi...
 
Ila mbunge wa Moshi mjini nilimsikia akimuunga mkono Magufuli kwa hatua anazozichukua. Nafikiri yeye alitoka tu bungeni maana hakuwa na jinsi.
 
Mtoa mada unafikiri kwa kutumia akili au kinyesi kwa hali iyo unaonekana hata ccm wakikulagai hutoe tigo unatoa na inawezekana ushawai kutoa kwasababu mwanaume wa kweli anamisimamo na sio kuyumba yumba hata mbowe haende ccm sisi tushaamua upinzani mpaka kufa na tumekubali kufa kiume ila kizazi kijacho kisije kutulaumu kumuacha mkoloni mweusi wa Zanzibar na bara tungali na akili timamu kama umeona kuna ulazma wa kuenda ccm nenda ila sisi upinzani ni kama dini hatuwezi kuama sababu tutakosa kwenda peponi kwa kuwatumikia mafisadi wanaoigiza kutumbuana na wananchi tumeshaelewa hatudanganyiki hakuna cha majipu ni bongo muvi
 
Mtumishi hewa namba moja ni Salum Mwalum,hakai unguja kueneza chama....yeye yupo ufipa mnavuta naye bangi...


kila kitu kishajidhihirisha juu ya ubongo wako .....na uwezo wako huna hoja ni matusi tu ndo mana nkasema waliokupa kazi wamechemka huwezi kukitetea chama.
 
Afu chadema wanataka tbc ionyeshe bunge live afu wao wanatoka bungeni.hehehe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…