Mbowe kamkosea heshima Lipumba


AMEISHATUMIKA, KAMA DR. SLAA NA ZITTO KABWE!
 
ViongoZi wote wa ChademaProp+ dingi yao Lowassa=nusu ya elimu ya Profesa.....

Natamani kuwa na elimu ya Profesa,huyu mtu kajaaliwa..najua inawauma sana Bavinyo but no way....
 
Mbowe katika makosa yote kisiasa aliyowahi kufanya basi katika hili mbowe amemkosea sana ni bora angetulia kimyaa tuu ,

  1. Upande wa pili lipumba akianza kujibu mapigo mbowe huenda ikashuka heshima yake kisiasa maana akianza kuchambuliwa c.v yake hadharani itakuwa sasa ni issue nyingine
 
Is not true that the prof is politically irrelevant? Kulala ofisini ili tu akina flani wasiingie kuna relevancy?
Prof.Lipumba amejimaliza mwenyewe kwa kupenda wine ya kununuliwa
 
over my dead body? maandamano yako pale pale sisi tumejiandaa harafu unatuletea nidhamu ya uoga Mr Mbowe sisi mambo ya limchele hayatuhusu.
 
Bora usiwe msomi sana ukawa na HEKIMA
 
Irrelevant ni mbowe,aliibuka na ukuta akafeli kabla ya kuupandisha
 
Hana sifa na wala hastahili kuheshimiwa, kajivunjia heshima mwenyewe na kajitoa akili.... Hamna namna... Kasifiwa tu
 
Lipumba is irrelevant I Tanzanian politics, hakuna neno lingine zaidi ya hilo.
 
Siyo mbowe aliyeongea iliyoongea ni pesa za lowasa ndo zinamuchanganya dj mbowe
 
Mbowe akili zake zitarudi sawa sawa pale Fedha za Lowasa zitakapo kwisha.. Lowasa ni kirusi upinzani... Ila Fedha zake ndio zinamlinda
 
Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Lipumba ni Profeselii si profesa ni mtu anayejiita profesa tu lakini kichwani anazidiwa akili na profesa maji marefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…