SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,081
- 75,445
Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...Mbowe yupo kwenye ziara za kata zote kwenye Jimbo lake la Hai..
Na nyie Mkiti wenu yupo wapi??
Bombardier imempa za uso...hahhahahahaahah..
Ujanja wote mfukoni..
Alifikiri kununua Ndege kwa kuchota pesa zetu bila idhini yetu kupitia Bunge na kutofata Sheria ya Manunuzi ndio ujanja..!!??
Ona alivyoona aibu hata Rwanda kashindwa kwenda wakati role model wake alipokuwa anaapishwa..
Haya wale wa meli ya samaki aliyoikamata wanadai Mabilions mengine na hukumu ilishatoka walipwe..
Yani huyu ni mtu wa kuitia hasara tu hii Nchi..
Utasikia sasa hivi na Boing Dreamliner limedakwa hukohuko kwa Manufacturer.
usisahau na lile deni la wachina wa samaki wa magu... lazima mkamuliwe mwaka huu tena sana coz mnajifanya mnajua sana kumbe mnaungua sasaMwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
me ndo nafurahi mpaka nakasirika mana kwanza hta alete midege 1000 siipandi na hainihusu so acha nichekelee tu. umesahau na wale wachina waliowashinda kesi ya samaki.. mwafwaa lelo.. tabia ya kukulupuka imewakost dawa ni kulipa tyuu muache longolongohivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
kama unataka tuonyeshe uzalendo mwambie sizonje aanze yeye kuonyesha kwa kuwapa wanachi uhuru wa kuongea yanayo ihusu inji yao bila kamatakmata ya kijinga. maana mkiambiwa ukweli tu skuizi mnageuza mnasema uchochezi afu mnasema hatuna uzalendo mnataka uzalendo upi... mnaofanya nyie wa kuwafunga kamba za viatu na kutoa skamoo mkuu!!! shame!!!hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
Wewe ni mpumbavu..hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
Eti siku saba, ndorobo Weeeeeeeeeeeeee......Ha ha ndege inakuja dogo,wewe endelea kupiga ramli. Hatahivyo Tundu kapewa siku saba kufuta kauli ya dhihaka dhidi ya Raisi kuwa alivunja mkataba
Ukiwa ccm lazima akili uzifiche kwenye makalioyan ni kihehere. makata wa ccm huwa mnaniuwa sana. yan hamnaga point
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani bado anakata na kufunua sijui wapi huko.Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
Umeshajifungua dadaMwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
Ila Sacco's ya wachaga kwa sasa imekosa mvuto!!. Chademaaaa!Mbowe yupo kwenye ziara za kata zote kwenye Jimbo lake la Hai..
Na nyie Mkiti wenu yupo wapi??
Bombardier imempa za uso...hahhahahahaahah..
Ujanja wote mfukoni..
Alifikiri kununua Ndege kwa kuchota pesa zetu bila idhini yetu kupitia Bunge na kutofata Sheria ya Manunuzi ndio ujanja..!!??
Ona alivyoona aibu hata Rwanda kashindwa kwenda wakati role model wake alipokuwa anaapishwa..
Haya wale wa meli ya samaki aliyoikamata wanadai Mabilions mengine na hukumu ilishatoka walipwe..
Yani huyu ni mtu wa kuitia hasara tu hii Nchi..
Utasikia sasa hivi na Boing Dreamliner limedakwa hukohuko kwa Manufacturer.
Hahaaa!Mediocre as juma pamba maharagwe?mediocre umemmis sana Mbowe.