Unakumbuka nyamagana kwa wenje? Mkurugenzi ili bidi amtangaze wenje baada ya kusikia nini kimezingira Nyumba Yake na family Yake ikiwa chini ya ulinzi.Haya ni maneno tu hata kwenye khanga yapo bana Lubuva anafanya kazi kwa mujibu wa sheria na kanuni za NEC yeye mbowe asumbuka na chama chake cha ukoo.
Kama ujui hilo basi fuatilia kuhusu matoke ya ubunge wa nyamagana jinsi ulivyoleta balaa kwa huyu jaji kitakacho mtokea atajibeba.