Mbowe: Hatutavumilia Tabia za Kuchafuana

Mbowe: Hatutavumilia Tabia za Kuchafuana

Kwa nini nyie Machadema Baadhi yenu hamtaki ukweli?

Ungesema hayo ndio madhara ya kulea watukanaji na waropokaji ila wasio na hoja
Ukweli ni kuwa pesa za chama zinaingia kwenye account binafsi ya Mbowe, na kuna upendeleo kwenye kupata wawakilishi i.e wabunge nk. Kuna fedha chafu zimeingizwa cdm, huo ndio ukweli kama umejikita kwenye ukweli. Matusi na kejeli ni mambo madogo ambayo yako kote na hayakwepeki. Mbowe akae pembeni ameshakaa kwenye nafasi hiyo muda mrefu asitafute kupata aibu.
 
Ukweli ni kuwa pesa za chama zinaingia kwenye account binafsi ya Mbowe, na kuna upendeleo kwenye kupata wawakilishi i.e wabunge nk. Kuna fedha chafu zimeingizwa cdm, huo ndio ukweli kama umejikita kwenye ukweli. Matusi na kejeli ni mambo madogo ambayo yako kote na hayakwepeki. Mbowe akae pembeni ameshakaa kwenye nafasi hiyo muda mrefu asitafute kupata aibu.
Chadema Hadi Leo hii Haina wahasibu? Inamaana CAG Huwa haoni huu ufisadi Ili waifute hii saccos?

Majizi makubwa wa Kodi (ruzuku) za Wananchi nyie.
 
Chadema Hadi Leo hii Haina wahasibu? Inamaana CAG Huwa haoni huu ufisadi Ili waifute hii saccos?

Majizi makubwa wa Kodi (ruzuku) za Wananchi nyie.
CAG akiamua kufuta vyama vinavyochezea kodi za watanzania, ataanza na ccm na taasisi za serekali.
 
Hayo ndio madhara ya kukaa madarakani muda mrefu hadi zitumike njia zote kukutoa. Ni kipi Mbowe hajafanya kwenye hii miaka 20, hadi itumike nguvu kubwa kumfanya akae pembeni? Asome alama za nyakati, wakati ukuta.
Inasikitisha aisee! Kwa muda mrefu nilikuwa nadhani tuhuma kuwa mtu akitaka kujua rangi ya Mbowe agombee uenyekiti ni uwongo . Lkn Sasa ni dhahiri kuna ukweli 100%
 
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.

Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.

Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19


My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19

Choice viclip hivi sii vyakupikwa kweli?Kwani jitihada zenu ni kukihujumu chama hiko bora zaidi Tanzania.
 
Back
Top Bottom