ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,359
- 88,446
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.
Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.
Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.
View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19
My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19
Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.
Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.
View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19
My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.
View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19