Mbowe: Hatutavumilia Tabia za Kuchafuana

Mbowe: Hatutavumilia Tabia za Kuchafuana

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
82,359
Reaction score
88,446
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.

Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.

Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19


My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19
 
Hayo ndio madhara ya kukaa madarakani muda mrefu hadi zitumike njia zote kukutoa. Ni kipi Mbowe hajafanya kwenye hii miaka 20, hadi itumike nguvu kubwa kumfanya akae pembeni? Asome alama za nyakati, wakati ukuta.
 
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.

Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.

Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19


My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19

Ukiona mashetani ya ccm yapo upande wako ujue kuwa wewe ni dhaifu
 
Hahaha waongeze ndimu, na pilipili kwa mbaali, pachangamke zaidi.
 
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.

Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.

Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19


My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19

Kuchafuana kwenye siasa ni kawaida toka enzi to enzi.
Be smart.
 
Naunga mkono hoja,Lisu amekuwa na tabia ya kumsema mtu badala ya kunadi sera zake.

Yaani Kampeni ya Lisu inalenga kumchafua Mbowe na kudharau mchango wake Kwa maslahi ya uroho wa madaraka.

Bwana Lisu mara kadhaa amekuwa akimkejeli boss wake huyo bila kujali utu wake.

View: https://x.com/Jambotv_/status/1868359711134974176?t=PcHsXqsk7FNMPtyuUrK8dQ&s=19


My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1868369429005730122?t=09RhiKEd3hlxybuDotzlBQ&s=19

Wewe ndiye umetafsiri kwa mtazamo wako. Maccm ghafla mumekuwa mashabiki wa Mbowe. Lissu amewashika pabaya kweli kweli.
 
Hayo ndio madhara ya kukaa madarakani muda mrefu hadi zitumike njia zote kukutoa. Ni kipi Mbowe hajafanya kwenye hii miaka 20, hadi itumike nguvu kubwa kumfanya akae pembeni? Asome alama za nyakati, wakati ukuta.

Hilo ni pandikizi hilo. Kuwazuga mabeberu kuwa Tz kuna multipartism in the name of democracy.

usisahau maoni ya waTz wengi wakati wa kukubali ama kuukataa vyama vingi, wengi walikataa
 
My Take
Naona Mwenyekiti (Mwenye Chama ) ameamua kukunjua makucha.
Naona Mbowe kaambukizwa alipo kuwa huko kwenye "Mazungumzo ya Ulaghai"---, na yeye sasa anadai matumizi ya "lugha za staha"?

Haya yote hayata badili chochote katika hali iliyopo sasa. Mwenyekiti Mbowe na Mmwenzake wa CCM wabaki na ulaghai wa maswala mepesi kama hayo ya "kutukanwa" huku treni ya mambo muhimu kwa nchi yetu yaki pamba moto. WaTanzania hawa hadaiwi tena.
 
Back
Top Bottom