Mbowe: Haturudi nyuma


Pole kijana wangu naona unautaka unaibu katibu mkuu bara kwa nguvu aaaah utaishia kuchoma mahindi
 
#HAPAHOFUTUU ndio falsafa yao. Hivi wanadhani washiriki wa mkutano 20,000 wakiamua kupambana na hao polisi 100 kutakuwa na usalama hapo?
Ni kweli watawaua kadhaa lakini hata baki polisi hata mmoja. Hilo hatutaki litokee katika nchi hii. Wasilazimishe
 
jisemee mwenyewe, hatujakupa kibali sisi kama wananchi kututolea tamko kwamba wote tunamkubali, acha ujesca ebooo!!!!
Polisi wa Kahama waliniudhi sana, walitakiwa kula kichapo hasa hadi wabadili gia angani. Wabunge wako kazini bungeni yy yeye anahamasisha vurugu, kama ana hamu ya kupiga kelele aende HAI kahama ina MBUNGE wake!
 
bila jeshi la polisi kufumuliwa na kuundwa upya nchi yetu ipo hatarini kupoteza umoja, amani na mshikamano wa taifa letu. jeshi hili linatumika kisiasa badala ya kulinda katiba...
 
Ukawa kumbukeni uhuru una mipaka yake,Demokrasia ipi tena inatakiwa?
UHURU hauna mipaka wewe, acha kukariri dhana ya kikoloni,.. uhuru ungekuwa na mipaka hata nchi za marekani na ulaya zingekomea huko huko kutubania pesa za maendeleo
 
Mkuu kwani Malisa nae kashikiliwa na hawa Polisi?
hapana,Facebook imempiga ban ya siku 7,eti kwa kuandika posts za uchochezi!google "Malisa Godlisten" halafu search akaunti yake ya Facebook!kuna watu wamemchongea!
 
hapana,Facebook imempiga ban ya siku 7,eti kwa kuandika posts za uchochezi!google "Malisa Godlisten" halafu search akaunti yake ya Facebook!kuna watu wamemchongea!
Kama wapo waliomchongea basi ni wapuuzi sana, uhuru wa kuongea hauna mipaka, afungue akaunti nyingine tutamfollow tu.
 
Safi sana............. Hii biashara ya serikali kutumia nguvu ya dola dhidi ya raia wanaoeleza kwa njia ya maandamano, mwisho wa siku inaweza kufanya raia watafute njia mbadala ku express their minds
 
Katika hili tuko pamoja sana Kamanda wa Anga MBOWE.

Demokrasia ina gharama yake; lets get united as we can all pay the price
 

Ndiyo nani huyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…