Mbunge wa CCM
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 475
- 25
.................mgombea wa makamba, JK.
rejea mapni yangu ya jana kuhusu hoja iliyoanzishwa na kishoka ya ama kuwa na uchaguzi mwakani au la
binafsi sikubaliani na wazo la mbowe kugombea ubunge huko hai. huyu ndiye aliyekuwa mgombea halisi mshindani kwenye nafasi ya urais wa JMT mwaka 2005 na sera mbadala za chama chake hadi leo zimeshika hatamu kwenye majukwaa ya siasa za tanzania.
najua kuna wana chadema wengi wanaoweza, lakini kujitosa kwa mbowe ili achujwe ndani ya chama chake, kutaleta ushindami wa kweli ndani ya chadema na nje yake dhidi ya mgombea wa makamba, JK.
uzoefu unaonyesha kuwa kwa tanzania, usiposimamaisha mgombea urais basi hupati hata mbunge! (japo si lazima kupata mbunge ukisimamisha mgombea urais). hivyo nina wasiwasi kuwa endapo chadema haitasimamaisha mgombea urais, itapungukiwa idadi ya wabunge na ndio utakaokuwa mwisho wa "vita dhidi ya ufisadi"
hata kama si mbowe, tuombe Mungu chadema waweke mtu makini zaidi lakini wasifanye kosa la kuingia uchaguzi mkuu bila mgombea urais!
tujadili..............
rejea mapni yangu ya jana kuhusu hoja iliyoanzishwa na kishoka ya ama kuwa na uchaguzi mwakani au la
binafsi sikubaliani na wazo la mbowe kugombea ubunge huko hai. huyu ndiye aliyekuwa mgombea halisi mshindani kwenye nafasi ya urais wa JMT mwaka 2005 na sera mbadala za chama chake hadi leo zimeshika hatamu kwenye majukwaa ya siasa za tanzania.
najua kuna wana chadema wengi wanaoweza, lakini kujitosa kwa mbowe ili achujwe ndani ya chama chake, kutaleta ushindami wa kweli ndani ya chadema na nje yake dhidi ya mgombea wa makamba, JK.
uzoefu unaonyesha kuwa kwa tanzania, usiposimamaisha mgombea urais basi hupati hata mbunge! (japo si lazima kupata mbunge ukisimamisha mgombea urais). hivyo nina wasiwasi kuwa endapo chadema haitasimamaisha mgombea urais, itapungukiwa idadi ya wabunge na ndio utakaokuwa mwisho wa "vita dhidi ya ufisadi"
hata kama si mbowe, tuombe Mungu chadema waweke mtu makini zaidi lakini wasifanye kosa la kuingia uchaguzi mkuu bila mgombea urais!
tujadili..............
peleka hii kwenye siasa,tuache hapa watu wa elimu.wanajamii vp?
Ndugu CHADEMA lazima itasimamisha mgombea Urais.Hawawezi kuacha kufanya hivyo ni kosa kisiasa.Walivyosema Mbowe atagombea Ubunge hawamaanishi kwamba hawatasimamisha mgombea Urais,hicho kitu hakiwezekani.
Labda tuwe wawazi na wa kweli. Mbowe na taasisi yake na NGO yake hawezi hata kidogo kupata 12% ya kura za urais.
CHADEMA wanakataa ukweli na wanajaribu tu kufunika kombe mwanaharamu apite.
Bila kuondoa UKANDA na UKABILA ndani ya CHADEMA. basi mmekwisha. Vile vile UKATOLIKI ndani ya Taasisi ni sumu kubwa.
Hata wamsimamishe Methodius Kilaini au hata PENGO kwenye Uraisi hakuna kitu hapo.
Uwo ndio ukweli. Jisafisheni na sio kuficha madhambi
Ni vizuri mtu kujiamini kabla ujaanza kutoa hoja yako.Mambo mi si mwanachama au bla bla za nini.elewa mimi si mwanchama wa chadema na kam ningekuwa hivyo jingeona fahari kwani chadema kwa sasa ndicho chenye "siasa-ongozi" wanateleza katika mambo ya ufundi tu na hasa wanapoingilwana vyomb vya usalam wanashindwaa kubaini mapema hadi kila mtu anaona wanteleza. vinginevyo chadema ndco chama pekee kilichoweza kuifundisha hata ccm siasa katika miaka hii mitano. nawapa hongera sana.
hayo ya ngo na ukabila sijui ukanda ni yako mwenyewe. nikuulize mfano mmoja, kama una mke mmoja na umemwoa toka kabila lako, je ni kielelzo cha kuwa wewe ni mkabila? kama unao wake 120 na wote wa kabila moja , je kielelezo cha ukabila?
kujibu hapo, mke anapatikana kwa vigezo gani, basi utajua kuwa mtu anaweza uwa na wake 200 wa makabila tofauti na akawa na "ukabila" na wakati kuna mtu ana mke mmoja wa kabila moja na lake na asiwe na "ukabila" haya ndiyo inayowakumbusha kila siku msichoke kufikiri.
mambo a udini/ukatoliki, sijui nini tena, jibu liko hapohapo kwenye jibu la ukabila . tafakari.
kama great thinker, jaribu kujadili hoja sio kudandia upuuzi ili kuficha udhaifu wa hoja uliyonayo
Ni vizuri mtu kujiamini kabla ujaanza kutoa hoja yako.Mambo mi si mwanachama au bla bla za nini.
Turudi labda kwenye Takwimu , lets take Dar. Chadema ni sehemu moja tu wanayoweza leta upinzani katika majimbo ya Dar. Nayo ni jimbo la Ubungo. sasa maeneo kwenye wanachama wengi katika jimbo hilo ni Sinza, na maeneo ya Chuo kikuu tu. sababu ndiko kwenye watu wengi wa kanda hiyo.
Pita maeneo kama manzese, tandale, mburahati, kigogo, magomeni huko kote CUF. sisemi CCM wao wapo kote kote.
Tukija kimikoa utaona Kilimanjaro, Arusha na manyara, na Kigoma sababu ya Zitto( akitoka hawapati kitu). wanakazi kubwa sana Mara hususan Tarime kwani muasisi wao kule Mar Chacha Wangwe kafariki. hatujui majaaliwa.
Sasa kifupi kama walivyozungumza wengi lazima Chama kiwe cha kitaifa na sio kikanda. lazima wajisambaze kuanzia Mtwara, mbeya , Iringa, Moro, Tabora, shinyanga, Znz n.k n.k. Hiyo itawasaidia sana katika kukihuisha Chama. Kwani sasa hivi CCM wananafasi kubwa sana kuimaliza CHADEMA kwani wanajulikana majimbo yao kama Karatu, Mosho Mjini, na Kigoma mjini.
Sikilizeni ushauri na sio kubisha kwani siku zote asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
Ulichoongea hapo ni kweli chama kiwe cha kitaifa, lakini mbona Chadema wameonyesha jitihada hizo? Tumewaona wamezunguka nchi nzima kufanya operesheni ya sangara, wamewahamasisha sana wananchi. Imeeleza sera zao na kueleza mabaya ya chama tawala. Lakini wananchi hao hao, wakishapewa peremende, kanga, tisheti, n.k., na CCM, wanasahau kila kitu na wanachagua CCM na mafisadi wake, nchi inazidi kuwa masikini.Turudi labda kwenye Takwimu , lets take Dar. Chadema ni sehemu moja tu wanayoweza leta upinzani katika majimbo ya Dar. Nayo ni jimbo la Ubungo. sasa maeneo kwenye wanachama wengi katika jimbo hilo ni Sinza, na maeneo ya Chuo kikuu tu. sababu ndiko kwenye watu wengi wa kanda hiyo.
Pita maeneo kama manzese, tandale, mburahati, kigogo, magomeni huko kote CUF. sisemi CCM wao wapo kote kote.
Tukija kimikoa utaona Kilimanjaro, Arusha na manyara, na Kigoma sababu ya Zitto( akitoka hawapati kitu). wanakazi kubwa sana Mara hususan Tarime kwani muasisi wao kule Mar Chacha Wangwe kafariki. hatujui majaaliwa.
Sasa kifupi kama walivyozungumza wengi lazima Chama kiwe cha kitaifa na sio kikanda. lazima wajisambaze kuanzia Mtwara, mbeya , Iringa, Moro, Tabora, shinyanga, Znz n.k n.k. Hiyo itawasaidia sana katika kukihuisha Chama. Kwani sasa hivi CCM wananafasi kubwa sana kuimaliza CHADEMA kwani wanajulikana majimbo yao kama Karatu, Mosho Mjini, na Kigoma mjini.
Sikilizeni ushauri na sio kubisha kwani siku zote asiyesikia la mkuu huvunjika guu.
ulichoongea hapo ni kweli chama kiwe cha kitaifa... lakini mbona chadema wameonyesha jitihada hizo, tumewaona wamezunguka nchi nzima kufanya operesheni ya sangara, wamewahamasisha sana wananchi. imeeleza sera zao na kueleza mabaya ya chama tawala. lakini wananchi haohao wakishapewa peremende,kanga,tisheti n.k na ccm wanasahau kila kitu wanachagua ccm na mafisadi wake nchi inazidi kuwa masikini..
Mbowe amesoma alama za nyakati ameona anaweza kushindi ubunge si uraisi kwasababu watanzania wanavutiwa na sera zake lakini ukifika wakati wa kura wanatekwa na vitu vidgovidgo walivyopewa wengine wanamchagua handsome.
Lipumba na Mbatia wapi nao wapi?
Freeman Mbowe atagombea jimbo gani?
Mtera!