Nimekuwa ninamfuatilia sana kamanda wa anga mbowe,kila mara anapozungumzia hofu za chadema kuhujumiwa,lazima aseme ushahidi tunao,ila akitakiwa kuuweka wazi anaufyata,si bora asingekuwa anaweka wazi,mfano kule Soweto,alisema ushahidi wanao kuwa ccm ndio walihujumu kampen zao za mwisho akatakiwa kuupeleka kwa raisi kwa kuwa hakuwa na iman na jeshi la polisi,hakupeleka,ila jana pia amekaririwa akisema hawatarudi bungeni maana ccm wanataka kuwahujumu,ndio maana wanawahadaa warudi bungeni,akamalizia kuwa "Na ushahidi tunao",hata huu utakuwa ni mdomoni tu!haya bana,lini home?