MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Zama hizi sio za kuwadanganya watanzania,shudu zenu hizi zimeshawakera wananchi,imefika mahali hata kuvaa kofia na t-shirt za ccm Mtaani mnaogopa wananchi kuwashambulia basi mnaleta shudu.
Mbowe ni msanii na mlaghai wa kisisa.
Wewe kweli ndio pimbi nchi hii lina mambo yenye ushaidi yametolewa maamuzi zaidi ya mtu kusimama kwenye TV na kutukenulia tuu.Kama ilivyo ada na kawaida ya Mh. Mbowe kutoa matamko ya kiulaghai na uongo kwa kudai kwamba huwa ana ushahidi wa mambo mbalimbali yanayotokea ktk mustakabali wa siasa za nchi yetu, kama alivyowahi kudai siku zilizopita, ambapo alidai ana video ya ushahidi wa Bomu la Olasiti Arusha, na pia Maswala ya Mwangosi na yale matukio ya waandishi kumwagiwa tindikali, ushahidi ambao hajawahi kuutoa kwenye vyombo vya sheria.
Leo kaja na mpya baada ya kudai ana ushahidi kutoka vikao vya ndani vya CCm kwamba eti hawataki kutekeleza mchakato wa katiba mpya bali wanawalaghai tu ili waingie ndani ya bunge la katiba na kisha waamue kufanya watakavyo.
My take: Kwa kuwa huyu mh. Mbowe amekuwa ni mtu wa kudai kuwa ana ushahidi wa mambo mengi tena yeye tu, itabidi vyombo vya dola vimbane ili aisadie polisi katika mengi ambayo yanahusisha jinai ili haki ipatikane kwa wahanga.
haa haaa, na ili uwe shabiki wa magambb unaitaji akili yako kuifungia stoo!Ili mtu uwe shabiki wa Mbowe, lazima uwe na akili kama za ng'ombe.
kwa hilo naunga mkono, maana ccm imeshindwa kabisa kusimamia mchakato wa kulipatia taifa let katiba mpyaHata hii iliyopo ni katiba mkuu imetuongoza kwa miaka 50 bila shida..ikafanyiwa marekebisho kodogo inaweza kwenda tena kwa miaka zaidi ya 50...
Hakuna Rais anayeweza kupewa conditions na genge la wahuni lenye id isiyotambulika kisheria.
Hiyo ni hujuma. Kukataa kushiriki kwenye mchakato wa kidemokrasia kwa kua unaona utashindwa kwa wingi wa kura. Ni udikteta cdm kudhani hoja yao ndio pekee yenye mashiko licha ya wawakilishi wa wengi kutoafiki hoja hiyo. Muafaka wa kitaifa ni wachache kukubaliana na hoja ya msingi ya wengi sio wachache kuwaburuza wengiKama ilivyo ada na kawaida ya Mh. Mbowe kutoa matamko ya kiulaghai na uongo kwa kudai kwamba huwa ana ushahidi wa mambo mbalimbali yanayotokea ktk mustakabali wa siasa za nchi yetu, kama alivyowahi kudai siku zilizopita, ambapo alidai ana video ya ushahidi wa Bomu la Olasiti Arusha, na pia Maswala ya Mwangosi na yale matukio ya waandishi kumwagiwa tindikali, ushahidi ambao hajawahi kuutoa kwenye vyombo vya sheria.
Leo kaja na mpya baada ya kudai ana ushahidi kutoka vikao vya ndani vya CCm kwamba eti hawataki kutekeleza mchakato wa katiba mpya bali wanawalaghai tu ili waingie ndani ya bunge la katiba na kisha waamue kufanya watakavyo.
My take: Kwa kuwa huyu mh. Mbowe amekuwa ni mtu wa kudai kuwa ana ushahidi wa mambo mengi tena yeye tu, itabidi vyombo vya dola vimbane ili aisadie polisi katika mengi ambayo yanahusisha jinai ili haki ipatikane kwa wahanga.
haa haaa, na ili uwe shabiki wa magambb unaitaji akili yako kuifungia stoo!
Hiyo ni hujuma. Kukataa kushiriki kwenye mchakato wa kidemokrasia kwa kua unaona utashindwa kwa wingi wa kura. Ni udikteta cdm kudhani hoja yao ndio pekee yenye mashiko licha ya wawakilishi wa wengi kutoafiki hoja hiyo. Muafaka wa kitaifa ni wachache kukubaliana na hoja ya msingi ya wengi sio wachache kuwaburuza wengi
Kama ilivyo ada na
kawaida ya Mh. Mbowe kutoa matamko ya kiulaghai na uongo kwa kudai
kwamba huwa ana ushahidi wa mambo mbalimbali yanayotokea ktk mustakabali
wa siasa za nchi yetu, kama alivyowahi kudai siku zilizopita, ambapo
alidai ana video ya ushahidi wa Bomu la Olasiti Arusha, na pia Maswala
ya Mwangosi na yale matukio ya waandishi kumwagiwa tindikali, ushahidi
ambao hajawahi kuutoa kwenye vyombo vya sheria.
Leo kaja na mpya baada ya kudai ana ushahidi kutoka vikao vya ndani vya
CCm kwamba eti hawataki kutekeleza mchakato wa katiba mpya bali
wanawalaghai tu ili waingie ndani ya bunge la katiba na kisha waamue
kufanya watakavyo.
My take: Kwa kuwa huyu mh. Mbowe amekuwa ni mtu wa kudai kuwa ana
ushahidi wa mambo mengi tena yeye tu, itabidi vyombo vya dola vimbane
ili aisadie polisi katika mengi ambayo yanahusisha jinai ili haki
ipatikane kwa wahanga.
Kwikwiii mkuu nasikia kirefu cha ukawa ni ujinga kawaida kwa wapinzani..ni kweli.!!'???
Na Kikwete je? Anayo orodha ya wauza madawa ya kulevya. Anawafahamu wafanyibiashara wanaohusika na ujangili wa ndovu. Kuna msanii zaidi ya huyu Kikwete? Chini ya utawala wake tumeshuhudia twiga wakiingizwa kwenye ndege za jeshi la nchi ya Kiarabu hata hatujui zile shingo zilikunjwa je. Unataka niendelee?Mbowe ni msanii na mlaghai wa kisisa.
Kama ilivyo ada na kawaida ya Mh. Mbowe kutoa matamko ya kiulaghai na uongo kwa kudai kwamba huwa ana ushahidi wa mambo mbalimbali yanayotokea ktk mustakabali wa siasa za nchi yetu, kama alivyowahi kudai siku zilizopita, ambapo alidai ana video ya ushahidi wa Bomu la Olasiti Arusha, na pia Maswala ya Mwangosi na yale matukio ya waandishi kumwagiwa tindikali, ushahidi ambao hajawahi kuutoa kwenye vyombo vya sheria.
Leo kaja na mpya baada ya kudai ana ushahidi kutoka vikao vya ndani vya CCm kwamba eti hawataki kutekeleza mchakato wa katiba mpya bali wanawalaghai tu ili waingie ndani ya bunge la katiba na kisha waamue kufanya watakavyo.
My take: Kwa kuwa huyu mh. Mbowe amekuwa ni mtu wa kudai kuwa ana ushahidi wa mambo mengi tena yeye tu, itabidi vyombo vya dola vimbane ili aisadie polisi katika mengi ambayo yanahusisha jinai ili haki ipatikane kwa wahanga.
hawa wlipewa nishani za utumishi uliotukuka!!!!!!!!!!!!Kama ilivyo ada na kawaida ya Mh. Mbowe kutoa matamko ya kiulaghai na uongo kwa kudai kwamba huwa ana ushahidi wa mambo mbalimbali yanayotokea ktk mustakabali wa siasa za nchi yetu, kama alivyowahi kudai siku zilizopita, ambapo alidai ana video ya ushahidi wa Bomu la Olasiti Arusha, na pia Maswala ya Mwangosi na yale matukio ya waandishi kumwagiwa tindikali, ushahidi ambao hajawahi kuutoa kwenye vyombo vya sheria.
Leo kaja na mpya baada ya kudai ana ushahidi kutoka vikao vya ndani vya CCm kwamba eti hawataki kutekeleza mchakato wa katiba mpya bali wanawalaghai tu ili waingie ndani ya bunge la katiba na kisha waamue kufanya watakavyo.
My take: Kwa kuwa huyu mh. Mbowe amekuwa ni mtu wa kudai kuwa ana ushahidi wa mambo mengi tena yeye tu, itabidi vyombo vya dola vimbane ili aisadie polisi katika mengi ambayo yanahusisha jinai ili haki ipatikane kwa wahanga.
MKUU point ya msingi sana umeanza nayo, kama mtu hajafanya utafiti wa jambo basi hana haki ya kuliongelea, nakubali kabisa, lakini ujumbe huu ungeuelekeza kwa mhe Mbowe, ambaye ndiye tatizo kwenye mada yetu ya leo, kwa kuropoka ovyo kuwa ana ushahidi wa jambo fulani wakati hana. Elekeza kwake mchango wako mkuu.
Nimekuwa ninamfuatilia sana kamanda wa anga mbowe,kila mara anapozungumzia hofu za chadema kuhujumiwa,lazima aseme ushahidi tunao,ila akitakiwa kuuweka wazi anaufyata,si bora asingekuwa anaweka wazi,mfano kule Soweto,alisema ushahidi wanao kuwa ccm ndio walihujumu kampen zao za mwisho akatakiwa kuupeleka kwa raisi kwa kuwa hakuwa na iman na jeshi la polisi,hakupeleka,ila jana pia amekaririwa akisema hawatarudi bungeni maana ccm wanataka kuwahujumu,ndio maana wanawahadaa warudi bungeni,akamalizia kuwa "Na ushahidi tunao",hata huu utakuwa ni mdomoni tu!haya bana,lini home?