Mbowe atikisa gereza la Lema

Mbowe atikisa gereza la Lema

BigMan

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2007
Posts
1,096
Reaction score
135
Taarifa nilizopata ni kwamba dakika chache zijazo mwenyekiti wa chadema mheshimiwa freeman mbowe atamtembelea mbunge wa arusha mhe godbless lema huko gerezani kisongo
 
Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?
 
tatzo mbowe sauti simba kichwa boga akiri kisoda
 
Nafikiria mbali sana.Niliowaona wamezuiwa kwenda kumwona Mh.Godbless Lema,walikuwa wengi mno.Mawazo yangu yanakwenda mbali zaidi,hivi siku hiyo ya kesi itakuwaje?Japokuwa jana kulikuwa na tetesi kwamba katoka lupango,sitaki kuziamini kwan sijamwona kwa macho yangu.Hivi polisi hawajapata taarifa za kiintelijensia,pengine kutakuwepo na vurugu?Na pale bungeni kutakuwa na taswira gani labda pale atakapotaka kuelezea yaliyojiri gerezani?Naomba kuwasilisha.
 
Nafikiria mbali sana.Niliowaona wamezuiwa kwenda kumwona Mh.Godbless Lema,walikuwa wengi mno.Mawazo yangu yanakwenda mbali zaidi,hivi siku hiyo ya kesi itakuwaje?Hivi polisi hawajapata taarifa za kiintelijensia,pengine kutakuwepo na vurugu?Na pale bungeni kutakuwa na taswira gani labda pale atakapotaka kuelezea yaliyojiri gerezani?Naomba kuwasilisha
What do you expect from such a small creature? Hawezi kuelezea chochote alichofanyiwa gerezani sana sana akifanya hivyo atakuwa anajidhalilisha tu.
 
Mambo yanayoendelea gerezani ni aibu kuelezea ukitoka nje. Sidhani kama atakuwa tayari kuyaeleza hata kwa mke wake achilia mbali ndani ya bunge.
 
What do you expect from such a small creature? Hawezi kuelezea chochote alichofanyiwa gerezani sana sana akifanya hivyo atakuwa anajidhalilisha tu.
Humjui Lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na VX lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?
 
Humjui Lema msamiati wa kujidhalilisha kwake haupo kama sivyo saa hizi angekuwa anatanua uraiani na VX lake hakuna anayemzuia hata leo akiamua kutoka anatoka, upo?

Hata kama wamem-CAMERON?
 
Aliacha kumtembelea Zitto akiwa Muhimbili anaona ni bora kumtembelea Lema akiwa gerezani?


Gerezani hawa ruhusu kuongea na simu labda uwe fisadi, sasa lema na mbowe si mafisadi, wange ruhusu simu angeongea na lema kwa simu kama alivyo fanya kwa zitto. Zitto alikuwa anatembelewa na kuhudumiwa na viongozi wa serikali ya ccm ambao ndio anawatumikia zaidi hapo cdm.
 
Halipo mtembelea Zitto Hospitali wahandishi wa habari na wapiga picha hawakuwepo.
 
mbona watu mnakuwa masaburi aliyekuambia akwenda nani wakati zito alinukuliwa akimpongeza slaa na chama chake kwa kuwa karibu naye
mwita ameongela mbowe, na siyo slaa na chama chake
 
Taarifa nilizopata ni kwamba dakika chache zijazo mwenyekiti wa chadema mheshimiwa freeman mbowe atamtembelea mbunge wa arusha mhe godbless lema huko gerezani kisongo

Asisahau kubeba sabuni na mafuta ya kujipaka Lema gerezani
 
Halipo mtembelea Zitto Hospitali wahandishi wa habari na wapiga picha hawakuwepo.

Alienda kimya kimya sio kama hao viongozi na wabunge wa CCM wanakusanya waandishi wa habari ndo waende kumsalimia mgonjwa jamaa wanapenda sana promo mpaka misibani
 
Back
Top Bottom