Ground Zero
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 342
- 95
Katika uzinduzi wa kampeni juzi jumamosi mwenyekiti wa taifa CDM aliwaeleza wananchi kwamba mbunge moja wa chadema ni sawa na magamba 30 na hivyo kuwaomba wananchi wampatie Joshua kwa kuwa watakuwa wamempa magamba 30. Je tatizo ni idadi ya magamba au ni gamba?naombeni ufafanuzi wapenzi wa cdm!