Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mbowe amenena haya...
Robo tatu ya viongozi waliopo hapa wana kesi mahakamani. Hivi ninavyozungumza,katibu wa vijana, Nusrat Hanje pamoja na viongozi wengine 7 wa chama mkoani Singida wapo mahabusu zaidi ya mwezi na hawapewi dhaman alafu mnategemea amani hii iendelee kuwepo.
Watanzania wanalazimishwa kuwa na mapenzi na watawala. Mapenzi bandia.
Nawaambia viongozi wa serikali, amani ya nchi hii haipo kwa sababu tuna majeshi. Amani ya nchi hii ipo kwa sababu tumekuwa wavumilivu.
Ofisi ya msajili ipo biased, ina upendeleo wa wazi. Ofisi ya msajili wanajiita walezi wa vyama vya siasa, tunaitaka ofisi ya msajili isiipendelee Chadema, ipendelee haki katika chi yetu.
Robo tatu ya viongozi waliopo hapa wana kesi mahakamani. Hivi ninavyozungumza,katibu wa vijana, Nusrat Hanje pamoja na viongozi wengine 7 wa chama mkoani Singida wapo mahabusu zaidi ya mwezi na hawapewi dhaman alafu mnategemea amani hii iendelee kuwepo.
Watanzania wanalazimishwa kuwa na mapenzi na watawala. Mapenzi bandia.
Nawaambia viongozi wa serikali, amani ya nchi hii haipo kwa sababu tuna majeshi. Amani ya nchi hii ipo kwa sababu tumekuwa wavumilivu.
Ofisi ya msajili ipo biased, ina upendeleo wa wazi. Ofisi ya msajili wanajiita walezi wa vyama vya siasa, tunaitaka ofisi ya msajili isiipendelee Chadema, ipendelee haki katika chi yetu.