Mbowe ametutega, hatatupata lakini atapata

Hahahaa CHAGADEMA bana...Mnaanza kumsifia Mwenyekiti wenu hapa...nendeni Dodoma muone nyie ny.am.bafu
Chadema hawana shida na mkutano wa CCM shida ya Chadema ni ruhusa ya kufanya mikutano ya ndani na nje.Mpaka sasa kwa mikutano ya ndani wameshafanikiwa.Bado ya nje tu.Nayo natumaini watapata tu.
 
Nauliza hivi, waliokuwa waende Dodoma kuzuia mkutano ni Chadema au Ukawa? Je, ndoa ya Ukawa bado inaishi? NLD wamo?
 
kama ni mbinu basi ni mbinu za kitoto,ukitaka kuwa kiongozi thabit ni lazima uwe na KAULI THABIT(you must be the man of your words),vinginevyo jitayarishe kudharaulika na kutokuaminiwa pindi utakapokuja na kauli nyingine.
Sasa ww ulitaka waende dodoma? Au ndo walewale? Ccm ina rais..ina jeshi...ina kila kitu isipokuwa inashindwa kwenye mitego midogo tu. Ebu angalia tu matamko ya chadema imewafanya polisi kukana walchisema awali. ..sasa hyo ni hasara au faida kwa upinzani?
 
Tunataka kwanza mkutano wetu ufanyike baada ya hapo kibano na katazo linaendelea
Usiwe bias sana kaka....hiz siasa zinasarakasi sana...Viongiz wetu wana upeo mdogo sana wa kufikiri ndo maana wanajikanganya sana kwenye kauli zao na hawajui misimamo yao....kwa mwendo huu sioni mawazo mapya kabisa...lazima ifike wakat tufanye siasa za kujenga nchi na sio kulumbana.....maana nchi hii ni ya kwetu sote.....nimekuwa nikikufuatilia kwa muda mrefu sana...umeweka maslahi ya chama mbele pasipo kutanguliza utaifa wala kujali usawa na haki ndani ya jamii yetu.....Badilika kaka siasa sio uhasama wala vita....itumie siasa kujenga hoja za kuendeleza taifa hili linalojikongoja
 
Sasa ww ulitaka waende dodoma? Au ndo walewale? Ccm ina rais..ina jeshi...ina kila kitu isipokuwa inashindwa kwenye mitego midogo tu. Ebu angalia tu matamko ya chadema imewafanya polisi kukana walchisema awali. ..sasa hyo ni hasara au faida kwa upinzani?
Ni hasara kwa upinzani kwa kuwa ili kuwawin watu katika siasa ni muhimu sana kujijengea kuaminiwa na wafuasi wako kwa maana ya kwamba kauli na matendo yako viende sambamba,ukitoa tamko la msisitizo lisifuatiwe na kuufyata mkia "wazee"wanapobweka,na hili linawezekana tu iwapo tamko husika lina nguvu ya hoja,wameufyata kwenda DOM kwa kuwa wamegundua kwamba walikurupuka kuapa kwenda huko kuzuia mkutano halali kwa hiyo ilikuwa ni tamko la hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja, na kimsingi kitendo cha kuzuia mkutano halali wa CCM ni kitendo ambacho kiko nje ya uwezo wao BY FAR.Wameona wataishia kuchomolewa nyonga na "kunyea debe"kwa ukaidi usiokuwa wa lazima...Hata hivyo nampongeza KUB kwa "kuona mbali",ila next time wanapokuja na matamko kwenye public wawe na uhakika na wanachokifanya badala ya kubahatisha bahatisha na kujaribu jaribu,TUKO AWAMU YA KAZI,hakuna DEKO wala MAHABA.
 
Ni hasara kwa upinzani kwa kuwa ili kuwawin watu katika siasa ni muhimu sana kujijengea kuaminiwa na wafuasi wako kwa maana ya kwamba kauli na matendo yako viende sambamba,ukitoa tamko la msisitizo lisifuatiwe na kuufyata mkia "wazee"wanapobweka,na hili linawezekana tu iwapo tamko husika lina nguvu ya hoja,wameufyata kwenda DOM kwa kuwa wamegundua kwamba walikurupuka kuapa kwenda huko kuzuia mkutano halali kwa hiyo ilikuwa ni tamko la hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja, na kimsingi kitendo cha kuzuia mkutano halali wa CCM ni kitendo ambacho kiko nje ya uwezo wao BY FAR.Wameona wataishia kuchomolewa nyonga na "kunyea debe"kwa ukaidi usiokuwa wa lazima...Hata hivyo nampongeza KUB kwa "kuona mbali",ila next time wanapokuja na matamko kwenye public wawe na uhakika na wanachokifanya badala ya kubahatisha bahatisha na kujaribu jaribu,TUKO AWAMU YA KAZI,hakuna DEKO wala MAHABA.
Mmh
 
So what did you want? Bloodshed? No we cannot allow that to happen. Better mtu aonekane mwoga kuliko bloodshed. Au unaonaje wewe?
 
Mbowe amewataka BAVICHA kutokuja hapa Dodoma na kuzuia mkutano wetu wa tarehe 23 mwezi huu. Kwakuwa Mbowe ni Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,BAVICHA watapaswa kutii na kutekeleza bila kujieleza.

Katazo la Mbowe lina mtego. Mbowe namjua. Ni mwanasiasa hasa. Kauli na matendo yake ya kisiasa,si ya kuyapongeza au kuyabeza kwa haraka zisizo na baraka. Mbowe amewatega watawala. Amewatega CCM. Anataka tumpongeze au kumuona ni muoga. Kwamba anatuacha tujidai tutakavyo.

Mbowe ni mwanasiasa mahiri,jasiri na mbunifu. Ameiva na kukomaa. Anajua kuwa kuachwa huru kwa CCM ni kuachwa huru wote. Anajua kuwa CCM tukifanya mikutano yetu,CHADEMA na wengineo hawatazuilika kufanya mikutano yao. Ni mahesabu ya kupata jawabu la kisiasa.

CCM hatutegeki kwa kauli ya Mbowe. Lakini,tuna hakika,atapata anachokilenga: mikutano huru ya kisiasa ya ndani na nje!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Bavicha bhana unazuga ili watu wasahau kuwa aliye anza kuwakataza na kupinga mihemko ya Bavicha ni Lowasa?
Mbowe ametekeleza agizo la Lowasa hakuna lingine......!

Mge gusa Dodoma mgejuta!
 
Ni hasara kwa upinzani kwa kuwa ili kuwawin watu katika siasa ni muhimu sana kujijengea kuaminiwa na wafuasi wako kwa maana ya kwamba kauli na matendo yako viende sambamba,ukitoa tamko la msisitizo lisifuatiwe na kuufyata mkia "wazee"wanapobweka,na hili linawezekana tu iwapo tamko husika lina nguvu ya hoja,wameufyata kwenda DOM kwa kuwa wamegundua kwamba walikurupuka kuapa kwenda huko kuzuia mkutano halali kwa hiyo ilikuwa ni tamko la hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja, na kimsingi kitendo cha kuzuia mkutano halali wa CCM ni kitendo ambacho kiko nje ya uwezo wao BY FAR.Wameona wataishia kuchomolewa nyonga na "kunyea debe"kwa ukaidi usiokuwa wa lazima...Hata hivyo nampongeza KUB kwa "kuona mbali",ila next time wanapokuja na matamko kwenye public wawe na uhakika na wanachokifanya badala ya kubahatisha bahatisha na kujaribu jaribu,TUKO AWAMU YA KAZI,hakuna DEKO wala MAHABA.

Huna macho yanayoona
 
......kaogopa kipigo cha polisi.
......kaogopa kutofautiana na mwenye chama (maana alikuuza kwa bil kazaa)
What you see while standing others have seen it while seated. Umeshawahi kucheza mchezo wa chess mkuu?
 
Back
Top Bottom