Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,284
- 10,665
Chadema hawana shida na mkutano wa CCM shida ya Chadema ni ruhusa ya kufanya mikutano ya ndani na nje.Mpaka sasa kwa mikutano ya ndani wameshafanikiwa.Bado ya nje tu.Nayo natumaini watapata tu.Hahahaa CHAGADEMA bana...Mnaanza kumsifia Mwenyekiti wenu hapa...nendeni Dodoma muone nyie ny.am.bafu