Mwaga full data please.....QUOTE]
Tusubiri mzee mwanakijiji acopy kutoka kwenye website za CCM atuwekee.
Watanzania Mnapenda vitu vya chap chap.........akiwataja mtawafanya nini?Kama hawezi kuwataja, na anyamaze kabisa! Haiwezekani kila siku wimbo uwe ni huo huo kuanzia kwa wabunge wa CCM hadi wa Chadema! Mbowe awataje ili ajitofautishe na kina Zitto.
kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni adai kuna baadhi ya wafanyabiashara na viongozi walioficha mamilioni ya dora katika baadhi ya visiwa ambavyo havitozi kodi kama Dubai
Watanzania Mnapenda vitu vya chap chap.........akiwataja mtawafanya nini?
Walipotajwa wezi wa fedha zetu EPA mliwafanya nini?
Alipotajwa Chenge na yeye mwenyewe kudhibitisha, mmemfanya nini?
Kama hao wote mmeshindwa kuwashughulikia, majina mapya mnayataka ili iweje?
kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni adai kuna baadhi ya wafanyabiashara na viongozi walioficha mamilioni ya dora katika baadhi ya visiwa ambavyo havitozi kodi kama Dubai
Kweli Mkuu, MMJ hachelewe kucopy na kuanza kutulazimisha NYEUPE ni NYEKUNDU... kwa maneno mengi mengiMwaga full data please.....QUOTE]
Tusubiri mzee mwanakijiji acopy kutoka kwenye website za CCM atuwekee.