Mbowe aliamua kujifunza kwa njia ngumu

Mbowe aliamua kujifunza kwa njia ngumu

Atafanya nini? Hakuna aliye nyuma yake ukiondoa Familia yake labda!
Hayo ni mambo ya kawaida kwa wanasiasa tofauti na unavyotaka kutuaminisha,

Etienne tishekedi alisota sana kizuizini enzi za mobuto, Leo mwanae Felix tishekedi in raisi was Kongo,

Mandela alisota miaka 27 jela Leo hii no hero
 
Hayo ni mambo ya kawaida kwa wanasiasa tofauti na unavyotaka kutuaminisha,

Etienne tishekedi alisota sana kizuizini enzi za mobuto, Leo mwanae Felix tishekedi in raisi was Kongo,

Mandela alisota miaka 27 jela Leo hii no hero


Siyo kila kitu unaweza kulinganisha 1-1, who cares about Mbowe? Hata tu old Moshi hawajui hata kama yuko Jela.
 
Back
Top Bottom