Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
My point is kila binadamu ataonja mauti. Hivi Mbowe akitangulia Mbele ya haki, CCM mtaongea nini?
Mtu mliyemfilisi, mkavunja Billicanas yake, mkafyeka shamba lake la mbogo, mkafunga account zake, na sasa yupo gerezani najua mtamfunga.
Je, akifa mtahudhuria msiba wake? Mtaongea nini kwa huyu mwamba siku akiondoka?
Mtu mliyemfilisi, mkavunja Billicanas yake, mkafyeka shamba lake la mbogo, mkafunga account zake, na sasa yupo gerezani najua mtamfunga.
Je, akifa mtahudhuria msiba wake? Mtaongea nini kwa huyu mwamba siku akiondoka?