Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Mkuu Makene acha mitego ya mahakamani kati ya wakili na mlalamikaji.Usivyokuwa na kumbukumbu leo umejikuta unameza ambacho umekuwa 'ukikitema' kila siku. Indirectly, giving salute to Rev. Peter Msigwa.
Indirectly, umekubali kuwa CCM na viongozi wa sampuli yake kuendelea kuwa madarakani ni akili ndogo kuongoza akili kubwa. Mambo hayaendi.
Asante kwa kukubaliana na Msigwa na wanaCHADEMA ambao wamekuwa wakitumia reference hiyo kuonesha namna CCM ilivyochakari.
Maana yangu hapo ni kuwa Mh Mbowe ambaye ni just form six anaongoza wasomi wengi wenye PHD nk na hiyo ndio maana yake.
Nimesema hivyo sio kumbeza Mbowe bali ni kubeza msemo wa Msigwa na Chadema kwa ujumla mnaodhani kuwa usomi ndio kipimo cha uongozi bila kusahau mwenyekiti wenu mwenyewe ana eleimu ya kawaida tu kama mimi.
Uongozi ni kipaji na wala usomi hauwezi kuwa kigezo bali credit. Unaweza kuniambia mkwawa alisoma wapi? Mirambo? na wengineo,???