sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,679
- 9,839
Akizungumza na Bongo FM msanii aliyeachiwa aondoke bure WCB, Mbosso Khan amesema kuwa anataka kumjibu diamond mwenyewe ila anasubiri aongee amjibu.
Ameyasema hayo akielezea kuhusu utunzi wa hitsong ya Pawa ambayo Babalevo alitusanua ukweli kuwa 50% ya wimbo umeandikwa na Diamond.
Watu wengi awajafuraishwa na interview hiyo ya Mbosso ambayo alionekana kumshambulia boss wake wa zamani bila sababu yoyote ya msingi. Wengi wakitafsiri kama kulewa sifa baada ya EP yake kufanya vizuri na kujisahau.
Sisi wadau wa muziki tunamshauri aendelee focus na muziki wake anapoelekea atateleza na kupoteza hiki kidogo alichojenga. Aendelee kuheshimu wawekezaji kwenye industry safari yake bado ni ndefu sana EP moja haitoshi kuanza kuvimba.
Ameyasema hayo akielezea kuhusu utunzi wa hitsong ya Pawa ambayo Babalevo alitusanua ukweli kuwa 50% ya wimbo umeandikwa na Diamond.
Watu wengi awajafuraishwa na interview hiyo ya Mbosso ambayo alionekana kumshambulia boss wake wa zamani bila sababu yoyote ya msingi. Wengi wakitafsiri kama kulewa sifa baada ya EP yake kufanya vizuri na kujisahau.
Sisi wadau wa muziki tunamshauri aendelee focus na muziki wake anapoelekea atateleza na kupoteza hiki kidogo alichojenga. Aendelee kuheshimu wawekezaji kwenye industry safari yake bado ni ndefu sana EP moja haitoshi kuanza kuvimba.