Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,486
- 34,789
Aiseee nimesikiliza goma jipya la Mboso Khan linaitwa "Yalaah" nimehitimisha Kwa kusema kuwa Mbosso ni fundi mpya wa mashairi hapa mjini......
Director Hanscana ni legend
Kitu kingine nilichogundua ni kuwa Diamond anapomsajili msanii anaangalia Sana uwezo wa kutunga mashairi mana ndo njia pekee itakayomvusha msanii kwenye vikwazo vingi .....
Kuanzia Harmonize , Rayvanny, Zuchu na Mbosso ni mafundi Sana wa mashairi , .... Wanaweza kukosea Ngoma moja ama mbili Ila dude la tatu linamrudisha kwenye mstari.....
Lava lava ,qeen Darling hawa daaaah .....!!! Wanahtaji maombi ya kutambika ...
Ila zaidi ya yote mbosso ni fundi
Director Hanscana ni legend
Kitu kingine nilichogundua ni kuwa Diamond anapomsajili msanii anaangalia Sana uwezo wa kutunga mashairi mana ndo njia pekee itakayomvusha msanii kwenye vikwazo vingi .....
Kuanzia Harmonize , Rayvanny, Zuchu na Mbosso ni mafundi Sana wa mashairi , .... Wanaweza kukosea Ngoma moja ama mbili Ila dude la tatu linamrudisha kwenye mstari.....
Lava lava ,qeen Darling hawa daaaah .....!!! Wanahtaji maombi ya kutambika ...
Ila zaidi ya yote mbosso ni fundi