Mbona zile mbinu za Makonda za kuhutubia kwa kuingia na trekta, mkokoteni hatuzioni tena huko Arusha au yalikuwa maigizo?

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,487
2,351
Wadau kama mtakumbuka Makonda alipoteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM aliingia na mbinu ya kushangaza sana ya kwenda kwenye Maeneo ya kukutana na Wananchi kwa kutumia Mkokoteni, Trekta au kupanda Lori n.k.

Baada ya Kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nilitarajia angeendeleza Mbinu ile ile lakini Sijamwona tena kuingia na Mkokoteni wala Trekta au Lori.

Je Mbinu ile ilikuwa ni MAIGIZO Tu?
 
Wadau kama mtakumbuka Makonda alipoteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM aliingia na mbinu ya kushangaza sana ya kwenda kwenye Maeneo ya kukutana na Wananchi kwa kutumia Mkokoteni, Trekta au kupanda Lori n.k.

Baada ya Kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nilitarajia angeendeleza Mbinu ile ile lakini Sijamwona tena kuingia na Mkokoteni wala Trekta au Lori.

Je Mbinu ile ilikuwa ni MAIGIZO Tu?
Ule upuuzi aliokuwa anafanya hauna tofauti na upuuzi unaofanywa na wadudu wa chuga ndiyo maana amejenga urafiki na hao wadudu kwani akili zao zinaendana
 
Mjinga utamjua tu anashabikia ujinga cheo kile wamepita wengi hawakuonyesha ujinga ule
Nyumbu mnajulikana tu, hamtumii ubongo kufikiri. Hata haujui maana ya 'different personalities, different actions', unadhani watu watu watafanya yale yale na kwa njia ile ile aliyofanya mwingine. Nyumbu, mkiinamisha vichwa kuanza mbio basi uwezo wa kufikiri unaishia hapo!
 
Wadau kama mtakumbuka Makonda alipoteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM aliingia na mbinu ya kushangaza sana ya kwenda kwenye Maeneo ya kukutana na Wananchi kwa kutumia Mkokoteni, Trekta au kupanda Lori n.k.

Baada ya Kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nilitarajia angeendeleza Mbinu ile ile lakini Sijamwona tena kuingia na Mkokoteni wala Trekta au Lori.

Je Mbinu ile ilikuwa ni MAIGIZO Tu?
Au kwa akili yako kateuliwa kuwa Mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha?? Huu ujinga mnasomea vyuo gani?
 
Wadau kama mtakumbuka Makonda alipoteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM aliingia na mbinu ya kushangaza sana ya kwenda kwenye Maeneo ya kukutana na Wananchi kwa kutumia Mkokoteni, Trekta au kupanda Lori n.k.

Baada ya Kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nilitarajia angeendeleza Mbinu ile ile lakini Sijamwona tena kuingia na Mkokoteni wala Trekta au Lori.

Je Mbinu ile ilikuwa ni MAIGIZO Tu?
😂😂 Fungu la kufanyia maigizo limekata. Na huko Arsuha Kila anapokaa anazidi kuwa wa kawaida sana maana fungu la kufanyia hadaa ni dogo.
 
Au kwa akili yako kateuliwa kuwa Mwenezi wa CCM Mkoa wa Arusha?? Huu ujinga mnasomea vyuo gani?
Kwani huko Arusha hakuna mikokoteni na Punda, au mikokoteni ni kwa ajili ya mwenezi wa ccm tu?
 
We utakuwa na matatizo ya akili, wakati ule alikuwa mwenezi akizunguka mikoa tofauti na kila mkoa aliingia kwa swaga ya mkoa, ni kawaida kabisa kwenye siasa. Leo ni mkuu wa mkoa mmoja bado unataka awe na msafara kama wa katibu mwenezi wa chama. Tafuta hela kwa uzi wako nina uhakika maisha yamekupiga.
 
Kwani huko Arusha hakuna mikokoteni na Punda, au mikokoteni ni kwa ajili ya mwenezi wa ccm tu?
Wewe Vyeti feki unayemchukia kila mkataa wizi tuliza mshono!! Hapa nasubiri umtukane Magufuli ili mkono uende kinywani
 
Alitaka kung'ara zaidi ya Bosi wake wakati Rule namba moja inasema usimzidi Bosi wako.😄😁
 
Wadau kama mtakumbuka Makonda alipoteuliwa kuwa Katibu wa Uenezi wa CCM aliingia na mbinu ya kushangaza sana ya kwenda kwenye Maeneo ya kukutana na Wananchi kwa kutumia Mkokoteni, Trekta au kupanda Lori n.k.

Baada ya Kuteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha nilitarajia angeendeleza Mbinu ile ile lakini Sijamwona tena kuingia na Mkokoteni wala Trekta au Lori.

Je Mbinu ile ilikuwa ni MAIGIZO Tu?
Nenda akaukwee mgongo wako!
 
Wewe Vyeti feki unayemchukia kila mkataa wizi tuliza mshono!! Hapa nasubiri umtukane Magufuli ili mkono uende kinywani
Nimecheka kwa nguvu, mwambie huyo muhalifu Makonda aweke vyeti vyake hapa tuendelee na mjadala.
 
Back
Top Bottom