farooq2013
Member
- Aug 11, 2013
- 98
- 16
Kinachonishangaza EWURA walitangaza ushukaji wa mafuta nchi nzima tangu Disemba na hadi jana mafuta ya petroli bara yanauzwa 1623 lkn huku kwetu zanzibar bei bado ni 1965.
Sijui wenzetu wa Zanzibar mafuta wanayachukua nchi gani au sie tupo nchi tofauti na Tanganyika.Kibaya zaidi hali ya uchumi ya Zanzibar ipo chini ukilinganisha na wenzetu kwa hiyo bei hiyo ya mafuta inazidi kutukwamisha kimaisha na kimaendeleo.
Sijui wenzetu wa Zanzibar mafuta wanayachukua nchi gani au sie tupo nchi tofauti na Tanganyika.Kibaya zaidi hali ya uchumi ya Zanzibar ipo chini ukilinganisha na wenzetu kwa hiyo bei hiyo ya mafuta inazidi kutukwamisha kimaisha na kimaendeleo.