Mbona vilio vya social media mitaani sivioni?

Mbona vilio vya social media mitaani sivioni?

Mati Mkenda

Senior Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
171
Reaction score
211
Mbona vilio vya social media mitaani sivioni?

Ingekuwa naishi nje ya nchi nikawa napitia tu posts kikundi fulani cha watu kwenye social media, ningeweza kupata picha ya society ya Watanzania ambayo iko very desparate na uongozi uliopo madarakani.
Cha ajabu kelele nyingi za malalamiko naziona kwenye social media. Lakini kwa kuwa naishi mitaani tena uswahili haswa, watu wengi sana wa maisha ya kawaida ambao kimsingi ndio walipaswa kulalamika sana, ndio hao wanaipongeza serikali hii kwa nguvu zote.

Ndio hao wanaoonekana kuwa wako contented kabisa na serikali yetu. Ndio hao wanampongeza Rais kwa kuwa amerejesha heshima yao ambayo ilikuwa imepotea, watoto watoto wao wanasoma elimu bure, hospitali na sehemu nyingine wanathaminiwa tofauti na zamani, na huduma nyingine za jamii zimeboreka.

Sasa najiuliza hicho kikundi kidogo cha kwenye “Social Media” ni nani anayewatuma kuleta chokochoko hapa nchini, na ni kwa maslahi ya nani?
 
Nadhani hili swali lako ungeenda kuliuliza mtaani badala ya social media ungepata jibu mujarabu kabisa...au ndo hulka ile ya unafiki..ajabu kwamba wewe usieviona vilio unatumia mtandao kuonesha mshangao wako
 
Mbona vilio vya social media mitaani sivioni?
Ingekuwa naishi nje ya nchi nikawa napitia tu posts kikundi fulani cha watu kwenye social media, ningeweza kupata picha ya society ya Watanzania ambayo iko very desparate na uongozi uliopo madarakani.
Cha ajabu kelele nyingi za malalamiko naziona kwenye social media. Lakini kwa kuwa naishi mitaani tena uswahili haswa, watu wengi sana wa maisha ya kawaida ambao kimsingi ndio walipaswa kulalamika sana, ndio hao wanaipongeza serikali hii kwa nguvu zote. Ndio hao wanaoonekana kuwa wako contented kabisa na serikali yetu. Ndio hao wanampongeza Rais kwa kuwa amerejesha heshima yao ambayo ilikuwa imepotea, watoto watoto wao wanasoma elimu bure, hospitali na sehemu nyingine wanathaminiwa tofauti na zamani, na huduma nyingine za jamii zimeboreka.
Sasa najiuliza hicho kikundi kidogo cha kwenye “Social Media” ni nani anayewatuma kuleta chokochoko hapa nchini, na ni kwa maslahi ya nani?
Utafiti: CCM inapendwa na wajinga, waoga na maskini, wazee na wanawake waliojikatia tamaa ya maisha. Na wengi wa watu hawa wako vijijini na mijini sehemu za uswahilini kwenye hali duni zaidi za maisha.

Jitafakari wewe uko kwenye kundi gani hapo then utapata jibu la swali lako
 
Nadhani hili swali lako ungeenda kuliuliza mtaani badala ya social media ungepata jibu mujarabu kabisa...au ndo hulka ile ya unafiki..ajabu kwamba wewe usieviona vilio unatumia mtandao kuonesha mshangao wako

Mtaani naishi huko, niko kotekote ndugu. Lakini wewe unalia hapa tukikutana mtaani sikuoni ukilia. Mtaani pia nina maswali na story zangu
 
Umeingia kila nyumba kuhakiki?
Je kama hao unaowaona sio wanaotoa malalamiko mtandaoni!!
 
stori za mtaani kwamba ukisikika unakosoa unapotezwa,watu wanaogopa sana hilo sababu mifano wanayo
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Mtaani naishi huko, niko kotekote ndugu. Lakini wewe unalia hapa tukikutana mtaani sikuoni ukilia. Mtaani pia nina maswali na story zangu
Kwani amekuwa Bashite huyu hadi ajiize mbele ya wanaume wenzake?
Si kila mwenye life gumu analialia mtaani,wengine huwa ni wacheshi unacheka nao vizuri halafu ukiingia ndani kwake utamhurumia.

SIRI YA MAISHA YA MTU IPO NDANI KWAKE.....
 
Mbona vilio vya social media mitaani sivioni?

Ingekuwa naishi nje ya nchi nikawa napitia tu posts kikundi fulani cha watu kwenye social media, ningeweza kupata picha ya society ya Watanzania ambayo iko very desparate na uongozi uliopo madarakani.
Cha ajabu kelele nyingi za malalamiko naziona kwenye social media. Lakini kwa kuwa naishi mitaani tena uswahili haswa, watu wengi sana wa maisha ya kawaida ambao kimsingi ndio walipaswa kulalamika sana, ndio hao wanaipongeza serikali hii kwa nguvu zote.

Ndio hao wanaoonekana kuwa wako contented kabisa na serikali yetu. Ndio hao wanampongeza Rais kwa kuwa amerejesha heshima yao ambayo ilikuwa imepotea, watoto watoto wao wanasoma elimu bure, hospitali na sehemu nyingine wanathaminiwa tofauti na zamani, na huduma nyingine za jamii zimeboreka.

Sasa najiuliza hicho kikundi kidogo cha kwenye “Social Media” ni nani anayewatuma kuleta chokochoko hapa nchini, na ni kwa maslahi ya nani?
Ushahidi wa hao wanaoipongeza uko wapi?

Maana sisi tunaondika humu ndiyo sisisisi tulioko mitaani.

Acha udanganyifu hali si shwari
 
Mitaani na nidhamu zao za uoga,.wanasifia ujinga huku wanateketea???
Sijui umetumia methodology ipi kama ulifanya utafiti wa hiki ukisemacho...ila tuu ni UJUHA wa hali ya juu kwa mwananchi tena masikini wa nchi hii kusifia ujinga+upuuzi wa serikali huku unakufa njaa,.
 
Nadhani anamaanisha mitaa ya jamii aina zote. Usikute unaishi masaki huko , ww unadhan kuna nani mitaa ya huko wanateseka? Kila mtaa una jamii tofauti zinazoishi, ni vema ungetembelea karibia mita 80% ndio uje na jibu.
Mtaani naishi huko, niko kotekote ndugu. Lakini wewe unalia hapa tukikutana mtaani sikuoni ukilia. Mtaani pia nina maswali na story zangu
 
Niongezee kisa mitaani watu wamekaa kimya haimaanishi kuwa wanaridhika na hii hali . Basi tu hawana namna wanaona bora waish hatakama kwa tabu..
Lakin mioyoni wana manung'uniko makubwa.

Mtoa mada afanye research nyumba kqa nyumba ndio ataelewa. Hii ya juu juu aliyofanya bado sana? Hajafikia hata mitaa 85 %
Mitaani na nidhamu zao za uoga,.wanasifia ujinga huku wanateketea???
Sijui umetumia methodology ipi kama ulifanya utafiti wa hiki ukisemacho...ila tuu ni UJUHA wa hali ya juu kwa mwananchi tena masikini wa nchi hii kusifia ujinga+upuuzi wa serikali huku unakufa njaa,.
 
Utafiti: CCM inapendwa na wajinga, waoga na maskini, wazee na wanawake waliojikatia tamaa ya maisha. Na wengi wa watu hawa wako vijijini na mijini sehemu za uswahilini kwenye hali duni zaidi za maisha.

Jitafakari wewe uko kwenye kundi gani hapo then utapata jibu la swali lako
Mbona picha inayojengeka siku hizi eti CCM inapendwa na Maprofessor na ma Dr(Phd holders)?
 
Niongezee kisa mitaani watu wamekaa kimya haimaanishi kuwa wanaridhika na hii hali . Basi tu hawana namna wanaona bora waish hatakama kwa tabu..
Lakin mioyoni wana manung'uniko makubwa.

Mtoa mada afanye research nyumba kqa nyumba ndio ataelewa. Hii ya juu juu aliyofanya bado sana? Hajafikia hata mitaa 85 %
Kafanya tafiti za TWAWEZA..
 
Back
Top Bottom