Habari? Katika harakàti zangu za kufuatilia habari mitandaoni Huwa napitia pitia mtandao wa Facebook nilichogundua vifo vingi vinatokea vya watoto wa 2000 RIP zimekuwa nyingi mno mpaka najiuliza ndio tumeingia zama mpya za kizazi Cha 2000 kupukutika au sie wa 80's tunajionea sio changamoto kwetu,au ni laana ya kizazi.
Habari? Katika harakàti zangu za kufuatilia habari mitandaoni Huwa napitia pitia mtandao wa Facebook nilichogundua vifo vingi vinatokea vya watoto wa 2000 RIP zimekuwa nyingi mno mpaka najiuliza ndio tumeingia zama mpya za kizazi Cha 2000 kupukutika au sie wa 80's tunajionea sio changamoto kwetu,au ni laana ya kizazi.
tulipitia changamoto nyingi sana kama njaa kali, magonjwa kama ndui, pepopunda, polio, kipindupindu, malaria, taifodi, ukoma, kifua kikuu na UKIMWI, tulinusurika na majanga hayo tushukuru Mungu
tulipitia changamoto nyingi sana kama njaa kali, magonjwa kama ndui, pepopunda, polio, kipindupindu, malaria, taifodi, ukoma, kifua kikuu na UKIMWI, tulinusurika na majanga hayo tushukuru Mungu