Mbona siwaelewi HALOTEL?

Mbona siwaelewi HALOTEL?

godson Lomayani

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2018
Posts
538
Reaction score
711
Nilikuwa napata MB 500 za Internet kuperuzi Facebook na You Tube,lakini kuanzia jana nikitaka kujiunga kifurushi cha Internet cha Tshs 500 ambapo nilikuwa napata Megabyte 500,lakini imekuwa tofauti napewa airtime Halotel kwenda Halotel dakika 30 na MB 250. Hii imekaaje wenzangu mnaotumia mtandao wa Halotel?
 
Mimi walikua wananipa 400 sasa wamefanya kama walivyo kufanyia na hizo dk hata sijui nazipeleka wapi
 
huu ni mwaka mpya wa serikali hivyo tambua kuna kodi mpya zimeaza kutumika kwa hao watoa huduma (mitandao ya Simu). Kwahiyo kama serikali Umewaongezea kodi na wao wanacho kifanya ni kupunguza ukubwa wa vifurushi ili kuendana na kodi Mpya.
 
Daaah nilikuwa naringa nacho kifurushi cha jero nataka kujiunga napewa mb250 n dk nitazipeleka wapi wamezingua kiukweli halotel
 
Screenshot_20190713-005327.png
KAZIKWELIKWELII
 
Hii ni biashara sio huduma mkuu.
Fahamu kuwa kinachowaunganisha mfanyabiashara na mteja ni maslahi.

Huruma na kufurahishana weka pembeni mbali kabisa,futa, ondoa.
Nilikuwa napata MB 500 za Internet kuperuzi Facebook na You Tube,lakini kuanzia jana nikitaka kujiunga kifurushi cha Internet cha Tshs 500 ambapo nilikuwa napata Megabyte 500,lakini imekuwa tofauti napewa airtime Halotel kwenda Halotel dakika 30 na MB 250. Hii imekaaje wenzangu mnaotumia mtandao wa Halotel?
 
Hii ni biashara sio huduma mkuu.
Fahamu kuwa kinachowaunganisha mfanyabiashara na mteja ni maslahi.

Huruma na kufurahishana weka pembeni mbali kabisa,futa, ondoa.
nanunua huduma,bahati mbaya mara zote muuzaji ndiye anaamua bei bila kunishirikisha.

lakini endapo nitaamua kuwa boss wake kivitendo na kuamua ninunue nini,majibu huwa yanatoka ndani ya mwezi tu.anarudisha ofa kibao ambazo nyingine sizifahamu.

hawa mitandao wanapenda kutikisa kiberiti,wakati wananijijua wapo wengi sokoni.
 
Nilikuwa napata MB 500 za Internet kuperuzi Facebook na You Tube,lakini kuanzia jana nikitaka kujiunga kifurushi cha Internet cha Tshs 500 ambapo nilikuwa napata Megabyte 500,lakini imekuwa tofauti napewa airtime Halotel kwenda Halotel dakika 30 na MB 250. Hii imekaaje wenzangu mnaotumia mtandao wa Halotel?

Hata vodacom ni hivyo hivyo, nadhanii wanashirikishana kwenye hii biashara. Voda Mb500 kwa shilingi 500 hakuna. Mb 512 zinapatikana kwa Tsh1000.
 
Hii ni biashara sio huduma mkuu.
Fahamu kuwa kinachowaunganisha mfanyabiashara na mteja ni maslahi.

Huruma na kufurahishana weka pembeni mbali kabisa,futa, ondoa.
Nimependa jibu lako japo limekuwa kavu sana.
 
Back
Top Bottom