Mbona sisikii migomo Vyuoni miaka hii?

Twinawe

JF-Expert Member
Oct 3, 2016
2,363
5,110
Nakumbuka zamani kidogo chuo cha Mwanza SAUT palikuwa hapaishiwi migomo migomo tofauti na miaka hii.

Hii inamanisha nini zama zimebadilika watu wanadai haki kwa njia nyingine au kero zimeisha zilizokua zinasababisha migomo.

Binafsi nimesoma CBE tangu naanza hadi namaliza sikuwahi sikia mgomo chuoni kwetu wala chuo jirani.

Zamani hata mashule ya sekondari walikua wanagomea hata misosi siku hizi siskii mambo ayo au tuna kizazi cha watu wasiojitambua haki zao?
 
Angalia age ya wanafunzi waliopo vyuoni inaweza kukupa jibu kirahisi.

Kwa kifupi wengi bado ni minors na dependants. Ubongo zao bado hawajaanza kuangalia mbele. Wanajua life ni kumaliza chuo baada ya hapo kuna ajira then watanue maisha.

Zamani unakuta mtu kufika chuo amepitia mengi sana. Chuoni unakutana na watu wengi wakiwa aged. Wanajua wanachofanya, wanaexperience katika maisha, wanamajukumu, etc. So walikuwa wapo tyari kupigania haki zao sio hawa wa sasa hata hawajui haki zao ni nini.
 
Angalia age ya wanafunzi waliopo vyuoni inaweza kukupa jibu kirahisi...
Nakupinga la kusem wanasoma wakapate ajira huo uongo wazamn ndio wali waaza hivyo lakin wa kileo wako chuo anajua hakuna ajira anakua na biashar yake sas unadhan muda wa kuwaz migom unatokea wap kama biashara inamsubr lakin swal la miak sawwa
 
Angalia age ya wanafunzi waliopo vyuoni inaweza kukupa jibu kirahisi....
Nakupinga la kusem wanasoma wakapate ajira huo uongo wazamn ndio wali waaza hivyo lakin wa kileo wako chuo anajua hakuna ajira anakua na biashar yake sas unadhan muda wa kuwaz migom unatokea wap kama biashara inamsubr lakin swal la miak sawwa
 
Back
Top Bottom