_ID
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,408
- 7,404
tanesco wanahtaji dereva mwny leseni class C. na watawala wa hii nchi wameweka sheria kwamba mtu asipewe class C kama hajatimiza miaka 30. jamaa hapo ana miaka 26,unategemea nn?? mm nmepambana lakn nmeishia kupata leseni class C1 C2 and C3. japo nna umri mdogo kwa jamaa. kwa hyo things are'nt easy buddah!!tafuta leseni mkuu juzi tanesco wametangaza kazi wanataka madereva zaidi ya 200 usichague kazi