Mbona necta wamechelewa kutoa matokeo ya kidato cha sita

BABU MAENDELEO usiwe ma haraka sana, wewe endelea kusubiria tu maana si umeona kilichowatokea wadogo zetu wa FORM IV? Hiki kitu kinawaumiza kichwa na kuwafanya wawe careful ili yasije yakajirudia kwa FORM SIX japo pia process ya standardization inaendelea kuvuta muda.
 
Haya yatatoka mwezi Juni maana lazima yakaguliwe kabla ya kutangazwa ili kuepusha aibu ya kutangaza matokeo mabaya na baadae kulazimika kuyabatilisha.

Kabla ya kutangazwa lazima yapitiwe ma wanasiasa weseme ndiyo. Bila hivyo hayatoki kwa hiyo muwe na subira NECTA inawasiliana na wadau kwanza
 
Subira huvuta heri, sasa hivi mpaka yapelekwe kwanza bungeni for verification kwa wazee wa kuangalia Quantity tu pasipo kuangalia Quality, hapo wanataka takwimu za 95% wamefaulu hata kama waliofaulu hawajui kusoma na kuandika
 
Tangu lini uliona matokeo ya form 6 yanatangazwa kabla ya yale ya F4? hapa wahitimu waombe kupelekwa JKT tena wakirudi ndio wawaze matokeo maana sasa ni chakachua at work.
 
cna uhakika sana juu ya hzi tetesi, waliopo jkt wameambiwa kuna intake 3! so lazma waliomaliza 4m 6 2013 wote wapite jkt! so hapo probabilty ya kwenda chuo October ni ndogo! i gec ndo maan hawana haraka na matokeo
 
Ninavyo sikia ni kwamba matokeo ya form six yalikua tayari lakini yalikua yameandaliwa kwa grades mpya zilizo kua zimetanganzwa apo awali na necta lakini sasa hivi wako wana grade upya matokeo ya form six kama wanavyo fanya kwa matokeo yo form four kwani baraza la mitihani ilitumia mfumo mpya kwa kidato cha nne na cha sita
 
Back
Top Bottom