Nilisoma Bango moja pale Ubungo Bus Terminal lililokuwa linasomeka kuwa Mwisho wa Dunia ni tarehe 21/05/2011...Sasa kinachonishangaza ni kuwa already tuko 21/05/2011 na mwisho wa dunia haujaonekana...Au wenzangu mshauona?Au niko mwenyewe duniani?......