Fahari omarsaid
Senior Member
- Feb 8, 2011
- 101
- 13
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
Kujiona kwako mtanashati na mzuri ndio haswa vinawakimbiza wadada!!
Utanashati na usharobaro bila sera :A S 13:!!!! Uza ilani sio sura mkuu!!!!!!:rain:
Mie nakupendaaaa :wink2:
Nimejitahidi kila hali kumtafuta mwenza bt cpati,nime2mia kila aina ya ujanja wangu lkn cjafanyikiwa,najiona mtanashati mzuri lkn cjui ni kwa nini wanawake hawanitaki,nisaidieni jamani.
Pole sana dear
Be urself be passion dear
time is the answer for every thing dear .
Habari za BAN dia nilikumiso, karibu tena
Habari za ban ntakupa story
nikiwa kwenye chombo kikubwa dear
hata mie nilikumiss sana kipenzi
ukiwa unaingia as a visitor
Huwezi kumuona MR kwenye ile idara
Duuuuhhh ndo nika relise ban kitu mbaya lol
we hujambo lakini bi mzuri....